Hayati Magufuli alitabiri haya hapa mawili, yametokea

Hayati Magufuli alitabiri haya hapa mawili, yametokea

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Marehemu Rais wetu mpendwa RIP Doctor Magufuli aliwahi kutabiri kuhusu Umeme na Maji alisema kuwa akiondoka matatizo yatarudi kama zamani na leo hii yamerudi tena matatizo ya Umeme na Maji kwa njia ya mgao Lohhh Aliyeturoga sisi Wa-Tanzania ameshafariki miaka mingi hatuwezi tena kupona maradhi yetu.




dawasa-pic.jpg

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akinawa maji ya bombo katika eneo la Mivinjeni ambalo kuanzia usiku wa jana limeanza kupata maji kutoka mradi wa visima vya Kigamboni.

Aweso asisitiza Dawasa kuzingatia ratiba mgawo wa maji​

Jumanne, Novemba 08, 2022
By Elizabeth Edward
Mwandishi
Mwananchi

Muktasari:​

Ili kuondoa malalamiko ya wananchi, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameisisitiziza Dawasa kuzingatia ratiba ya mgawo wa maji katika Jiji la Dar es Salaam huku akisema kuna uwezekano wa maji kuongezeka mto Ruvu kufuatia mvua kuanza kunyesha mkoani Morogoro.

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiziza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuzingatia ratiba ya mgawo wa maji huku akibainisha uwezekano wa maji kuongezeka mto Ruvu kufuatia mvua kuanza kunyesha mkoani Morogoro.

Hata hivyo amewatahadharisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutumia vizuri maji wanayopata kulingana na mgawo kwa kuwa bado kuna changamoto ya upatikanaji.

Aweso amesema Dawasa ikizingatia ratiba ya mgawo itaondoa itaondoa malalamiko ya watu kukosa maji kwa kuwa bado maji yanayozalishwa ni kidogo.

Ameyasema hayo leo Jumanne Novemba 8, 2022 wakati akikagua visima vilivyofufuliwa na baadhi ya maeneo ya wilaya ya Temeke ambayo yameanza kupata maji kutoka mradi wa visima wa Kigamboni uliozinduliwa wiki iliyopita.

Akizungumzia hali ilivyo kwa sasa waziri amekiri kuwa bado kuna changamoto kubwa ya ukosefu wa maji huku akieleza kuwa hatua kadha zinaendelea kuwanasua wananchi katika adha hiyo.

“Tunapitia kipindi kigumu ila niwaombe wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuwa wavumilivu, maji ya Kigamboni yameshavuka na yameanza kusambaa katika maeneo ya Temeke na katikati ya mji.

“Mategemeo yetu ni kwamba yatazidi kuwafikia wananchi na kwa kiasi fulani yatapunguza adha ya maji katika maeneo ambayo yanafikiwa na maji haya kutoka Kigamboni,” amesema Aweso.

Baadhi ya wakazi wa mitaa ya Temeke wameeleza kuwa kwa takribani wiki mbili walikosa maji na yameanza kutoka usiku wa jana.

“Wiki mbili hatujapata maji ila jana usiku ndiyo tumeanza kuona maji, hatujalala usiku kucha tumechota tukijua yatakatika ila hadi sasa tunaona bado yanatoka,” amesema Suzan Majaliwa mkazi wa Kurasini.

Meneja wa Dawasa Temeke, Cosmas Makere amesema kuanzia jana maji kutoka kwenye visima vya Kigamboni yamefika katika baadhi ya maeneo wilayani Temeke.

chanzo. Aweso asisitiza Dawasa kuzingatia ratiba mgawo wa maji
 
Marehemu Rais wetu mpendwa RIP Doctor Magufuli aliwahi kutabiri kuhusu Umeme na Maji alisema kuwa akiondoka matatizo yatarudi ...
I have said it all the way! That, whatever the achievements he made, as long as it involved loss of human life, violation of basic human rights and the like to attain that so called developmemnts, it all goes to the trench, it lacks merit at whatever dimensions!
 
I have said it all the way! That, whatever the achievements he made, as long as it involved loss of human life, violation of basic human rights and the like to attain that so called developmemnts, it all goes to the trench, it lacks merit at whatever dimensions!
We ni fala sana basi Russia ,north Korea,china, Qatar,uae wote hamna kitu ugundue kua wamagharibi wamekujaza upopoma kichwani
 
Marehemu Rais wetu mpendwa RIP Doctor Magufuli aliwahi kutabiri kuhusu Umeme na Maji alisema kuwa akiondoka matatizo yatarudi kama zamani na leo hii yamerudi tena matatizo ya Umeme na Maji kwa njia ya mgao Lohhh Aliyeturoga sisi Wa-Tanzania ameshafariki miaka mingi hatuwezi tena kupona maradhi yetu.


View attachment 2410511

View attachment 2410626
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akinawa maji ya bombo katika eneo la Mivinjeni ambalo kuanzia usiku wa jana limeanza kupata maji kutoka mradi wa visima vya Kigamboni.

Aweso asisitiza Dawasa kuzingatia ratiba mgawo wa maji​

Jumanne, Novemba 08, 2022
By Elizabeth Edward
Mwandishi
Mwananchi

Muktasari:​

Ili kuondoa malalamiko ya wananchi, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameisisitiziza Dawasa kuzingatia ratiba ya mgawo wa maji katika Jiji la Dar es Salaam huku akisema kuna uwezekano wa maji kuongezeka mto Ruvu kufuatia mvua kuanza kunyesha mkoani Morogoro.

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiziza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuzingatia ratiba ya mgawo wa maji huku akibainisha uwezekano wa maji kuongezeka mto Ruvu kufuatia mvua kuanza kunyesha mkoani Morogoro.

Hata hivyo amewatahadharisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutumia vizuri maji wanayopata kulingana na mgawo kwa kuwa bado kuna changamoto ya upatikanaji.

Aweso amesema Dawasa ikizingatia ratiba ya mgawo itaondoa itaondoa malalamiko ya watu kukosa maji kwa kuwa bado maji yanayozalishwa ni kidogo.

Ameyasema hayo leo Jumanne Novemba 8, 2022 wakati akikagua visima vilivyofufuliwa na baadhi ya maeneo ya wilaya ya Temeke ambayo yameanza kupata maji kutoka mradi wa visima wa Kigamboni uliozinduliwa wiki iliyopita.

Akizungumzia hali ilivyo kwa sasa waziri amekiri kuwa bado kuna changamoto kubwa ya ukosefu wa maji huku akieleza kuwa hatua kadha zinaendelea kuwanasua wananchi katika adha hiyo.

“Tunapitia kipindi kigumu ila niwaombe wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuwa wavumilivu, maji ya Kigamboni yameshavuka na yameanza kusambaa katika maeneo ya Temeke na katikati ya mji.

“Mategemeo yetu ni kwamba yatazidi kuwafikia wananchi na kwa kiasi fulani yatapunguza adha ya maji katika maeneo ambayo yanafikiwa na maji haya kutoka Kigamboni,” amesema Aweso.

Baadhi ya wakazi wa mitaa ya Temeke wameeleza kuwa kwa takribani wiki mbili walikosa maji na yameanza kutoka usiku wa jana.

“Wiki mbili hatujapata maji ila jana usiku ndiyo tumeanza kuona maji, hatujalala usiku kucha tumechota tukijua yatakatika ila hadi sasa tunaona bado yanatoka,” amesema Suzan Majaliwa mkazi wa Kurasini.

Meneja wa Dawasa Temeke, Cosmas Makere amesema kuanzia jana maji kutoka kwenye visima vya Kigamboni yamefika katika baadhi ya maeneo wilayani Temeke.

chanzo. Aweso asisitiza Dawasa kuzingatia ratiba mgawo wa maji
Ila kuna kikundi cha wenye upungufu wa akili yaani wendawazimu au ni wagonjwa wa akili watasema eti hakuna mgao wa maji wala umeme. Ila napenda sana watanzania hasa kundi la wajinga na wasiokuwa na akili. Unayaibia na bado yanakusifia
 
Marehemu Rais wetu mpendwa RIP Doctor Magufuli aliwahi kutabiri kuhusu Umeme na Maji alisema kuwa akiondoka matatizo yatarudi kama zamani na leo hii yamerudi tena matatizo ya Umeme na Maji kwa njia ya mgao Lohhh Aliyeturoga sisi Wa-Tanzania ameshafariki miaka mingi hatuwezi tena kupona maradhi yetu.


View attachment 2410511

View attachment 2410626
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akinawa maji ya bombo katika eneo la Mivinjeni ambalo kuanzia usiku wa jana limeanza kupata maji kutoka mradi wa visima vya Kigamboni.

Aweso asisitiza Dawasa kuzingatia ratiba mgawo wa maji​

Jumanne, Novemba 08, 2022
By Elizabeth Edward
Mwandishi
Mwananchi

Muktasari:​

Ili kuondoa malalamiko ya wananchi, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameisisitiziza Dawasa kuzingatia ratiba ya mgawo wa maji katika Jiji la Dar es Salaam huku akisema kuna uwezekano wa maji kuongezeka mto Ruvu kufuatia mvua kuanza kunyesha mkoani Morogoro.

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiziza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuzingatia ratiba ya mgawo wa maji huku akibainisha uwezekano wa maji kuongezeka mto Ruvu kufuatia mvua kuanza kunyesha mkoani Morogoro.

Hata hivyo amewatahadharisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutumia vizuri maji wanayopata kulingana na mgawo kwa kuwa bado kuna changamoto ya upatikanaji.

Aweso amesema Dawasa ikizingatia ratiba ya mgawo itaondoa itaondoa malalamiko ya watu kukosa maji kwa kuwa bado maji yanayozalishwa ni kidogo.

Ameyasema hayo leo Jumanne Novemba 8, 2022 wakati akikagua visima vilivyofufuliwa na baadhi ya maeneo ya wilaya ya Temeke ambayo yameanza kupata maji kutoka mradi wa visima wa Kigamboni uliozinduliwa wiki iliyopita.

Akizungumzia hali ilivyo kwa sasa waziri amekiri kuwa bado kuna changamoto kubwa ya ukosefu wa maji huku akieleza kuwa hatua kadha zinaendelea kuwanasua wananchi katika adha hiyo.

“Tunapitia kipindi kigumu ila niwaombe wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuwa wavumilivu, maji ya Kigamboni yameshavuka na yameanza kusambaa katika maeneo ya Temeke na katikati ya mji.

“Mategemeo yetu ni kwamba yatazidi kuwafikia wananchi na kwa kiasi fulani yatapunguza adha ya maji katika maeneo ambayo yanafikiwa na maji haya kutoka Kigamboni,” amesema Aweso.

Baadhi ya wakazi wa mitaa ya Temeke wameeleza kuwa kwa takribani wiki mbili walikosa maji na yameanza kutoka usiku wa jana.

“Wiki mbili hatujapata maji ila jana usiku ndiyo tumeanza kuona maji, hatujalala usiku kucha tumechota tukijua yatakatika ila hadi sasa tunaona bado yanatoka,” amesema Suzan Majaliwa mkazi wa Kurasini.

Meneja wa Dawasa Temeke, Cosmas Makere amesema kuanzia jana maji kutoka kwenye visima vya Kigamboni yamefika katika baadhi ya maeneo wilayani Temeke.

chanzo. Aweso asisitiza Dawasa kuzingatia ratiba mgawo wa maji
Umeme unajua kutufilisi
 
We ni fala sana basi Russia ,north Korea,china, Qatar,uae wote hamna kitu ugundue kua wamagharibi wamekujaza upopoma kichwani
muulize maa yako kama mimi fala, atakupa ukweli
 
muulize maa yako kama mimi fala, atakupa ukweli
Sawa turudi kwenye maada ko nchi za Russia,Korea na Qatar hamna kitu kwasababu watu waneuwawa wny utawala wao?
Vipi jk alkufa mwangosi hivo nae hakufaa
 
Ila kuna kikundi cha wenye upungufu wa akili yaani wendawazimu au ni wagonjwa wa akili watasema eti hakuna mgao wa maji wala umeme. Ila napenda sana watanzania hasa kundi la wajinga na wasiokuwa na akili. Unayaibia na bado yanakusifia
Mkuu usidhani kwamba wanaibiwa hawaoni no!

Lipo kundi la walamba viatu ndiyo linasaidia sana sisem kuendelea kutamba.

Angalia hii tabia inavyoanzia juu,
Msukuma, Lusinde na Kigwangala walivyojaza sever za you tube jana na leo!
 
Sawa turudi kwenye maada ko nchi za Russia,Korea na Qatar hamna kitu kwasababu watu waneuwawa wny utawala wao?
Vipi jk alkufa mwangosi hivo nae hakufaa
There was no suicide mission. Kwa Magufuli vikosi vilipangwa kabisa na yeye kuyekeleza maovu. JK haku ratibu vitu kama hivyo. JK naye alikuwa dhaifu sana and it has been said kwamba hawa watu wa karibu na unasaba wake siyo wa kutawala ni kucheza ngoma , mdundiko and the like! JK wa from the dynasty of IRON boys and therefore their role has bee clearly defined by PLATO..................In a society, people’s intellectual abilities are naturally divided into three groups; golden boys, silver boys and iron boys.
The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths.
 
There was no suicide mission. Kwa Magufuli vikosi vilipangwa kabisa na yeye kuyekeleza maovu. JK haku ratibu vitu kama hivyo. JK naye alikuwa dhaifu sana and it has been said kwamba hawa watu wa karibu na unasaba wake siyo wa kutawala ni kucheza ngoma , mdundiko and the like! JK wa from the dynasty of IRON boys and therefore their role has bee clearly defined by PLATO..................In a society, people’s intellectual abilities are naturally divided into three groups; golden boys, silver boys and iron boys.
The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths.

Andika tu kiswahili mzee..
 
Back
Top Bottom