Hayati Magufuli alitabiri haya hapa mawili, yametokea

Hayati Magufuli alitabiri haya hapa mawili, yametokea

There was no suicide mission. Kwa Magufuli vikosi vilipangwa kabisa na yeye kuyekeleza maovu. JK haku ratibu vitu kama hivyo. JK naye alikuwa dhaifu sana and it has been said kwamba hawa watu wa karibu na unasaba wake siyo wa kutawala ni kucheza ngoma , mdundiko and the like! JK wa from the dynasty of IRON boys and therefore their role has bee clearly defined by PLATO..................In a society, people’s intellectual abilities are naturally divided into three groups; golden boys, silver boys and iron boys.
The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths.
Hahahaha sema mkuu mbna we mwenyewe hufati democracy Aya judge kwa haki kifo Cha nani alikipanga?
Naona umemtetea jk saana ila kwa magu unataka kuona kama yeye ndo alkua katiri sana vipi nkisema nae watu wake wa karbu ndo walifanya yy hakuhusika io gs ako nimeosoma pia lakini ukisoma kwa ndaani Kuna exceptional vipi kama jk alkua exceptional kweny jamii ake
Pia niambie nchi Gani imeendelea kwa kufata democracy unayoitaka
 
There was no suicide mission. Kwa Magufuli vikosi vilipangwa kabisa na yeye kuyekeleza maovu. JK haku ratibu vitu kama hivyo. JK naye alikuwa dhaifu sana and it has been said kwamba hawa watu wa karibu na unasaba wake siyo wa kutawala ni kucheza ngoma , mdundiko and the like! JK wa from the dynasty of IRON boys and therefore their role has bee clearly defined by PLATO..................In a society, people’s intellectual abilities are naturally divided into three groups; golden boys, silver boys and iron boys.
The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths.
Nani alikuwa nyuma ya tokomeza na gesi mtwara huko ni magu au! Wajua tomemeza watu wanagap walikufa na wengine kuwa vilema hadi leo je umesahau ya zanzibar 2010, mbona yametokea si miaka mingi sn vp munasahau mapema
 
Nani alikuwa nyuma ya tokomeza na gesi mtwara huko ni magu au! Wajua tomemeza watu wanagap walikufa na wengine kuwa vilema hadi leo je umesahau ya zanzibar 2010, mbona yametokea si miaka mingi sn vp munasahau mapema
Magu ali-top the scenery of cruelity!
 
RIP JOHN POMBE MAGUFULI RAIS WA TANZANIA....


RIP JOHN POMBE MAGUFULI RAIS WA TANZANIA.jpg
 
Back
Top Bottom