Hayati Magufuli alitabiri haya hapa mawili, yametokea

Hahahaha sema mkuu mbna we mwenyewe hufati democracy Aya judge kwa haki kifo Cha nani alikipanga?
Naona umemtetea jk saana ila kwa magu unataka kuona kama yeye ndo alkua katiri sana vipi nkisema nae watu wake wa karbu ndo walifanya yy hakuhusika io gs ako nimeosoma pia lakini ukisoma kwa ndaani Kuna exceptional vipi kama jk alkua exceptional kweny jamii ake
Pia niambie nchi Gani imeendelea kwa kufata democracy unayoitaka
 
Nani alikuwa nyuma ya tokomeza na gesi mtwara huko ni magu au! Wajua tomemeza watu wanagap walikufa na wengine kuwa vilema hadi leo je umesahau ya zanzibar 2010, mbona yametokea si miaka mingi sn vp munasahau mapema
 
Nani alikuwa nyuma ya tokomeza na gesi mtwara huko ni magu au! Wajua tomemeza watu wanagap walikufa na wengine kuwa vilema hadi leo je umesahau ya zanzibar 2010, mbona yametokea si miaka mingi sn vp munasahau mapema
Magu ali-top the scenery of cruelity!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…