Hayati Magufuli aliwahi kumfunga kiongozi yoyote kutokana na ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG?

Hayati Magufuli aliwahi kumfunga kiongozi yoyote kutokana na ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile

Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa kisiasa kama tunazijadili kisiasa

Kuna baadhi ya watu ambao wamekosa hoja ya kutetea siasa zao zilizoigharimu sana nchi hii kwa miaka 6 , sasa wameona ripoti ya CAG ndio gia mpya ya kutetea ushetani wao

Watu hawa wanadai awamu hii ndio ripoti ya CAG imeonyesha wizi mkubwa na hakuna hatua iliyochukuliwa tofauti na miaka 5 ya kiongozi wao,

Ni vizuri kuhimiza hatua zichukuliwe lakini sio kwa siasa za kilaghai, miaka hiyo 5 ni mwaka gani ambao mtu aliwahi kufungwa kutokana na ubadhirifu wa ripoti ya CAG?
 
Nchi hii watu wanalindana
Ukiona unapewa kesi basi ujue
Mfumo haukuelewi...utasotasota
Tu rumande ila utakuja toka

Ova
 
Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile

Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa kisiasa kama tunazijadili kisiasa

Kuna baadhi ya watu ambao wamekosa hoja ya kutetea siasa zao zilizoigharimu sana nchi hii kwa miaka 6 , sasa wameona ripoti ya CAG ndio gia mpya ya kutetea ushetani wao

Watu hawa wanadai awamu hii ndio ripoti ya CAG imeonyesha wizi mkubwa na hakuna hatua iliyochukuliwa tofauti na miaka 5 ya kiongozi wao,

Ni vizuri kuhimiza hatua zichukuliwe lakini sio kwa siasa za kilaghai, miaka hiyo 5 ni mwaka gani ambao mtu aliwahi kufungwa kutokana na ubadhirifu wa ripoti ya CAG?
Sisi Hatujui nenda ukamuulize mwenyewe, Yupo nyumbani kwake mikocheni.
 
Waliofungwa wale aliokuwa na beef nao... Mzee wa siongei na mbwa naongea na mwenyembwa sjui yukowapi skuizi... Pole manji jeuri ulikomeshwa kwakweli
 
Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile

Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa kisiasa kama tunazijadili kisiasa

Kuna baadhi ya watu ambao wamekosa hoja ya kutetea siasa zao zilizoigharimu sana nchi hii kwa miaka 6 , sasa wameona ripoti ya CAG ndio gia mpya ya kutetea ushetani wao

Watu hawa wanadai awamu hii ndio ripoti ya CAG imeonyesha wizi mkubwa na hakuna hatua iliyochukuliwa tofauti na miaka 5 ya kiongozi wao,

Ni vizuri kuhimiza hatua zichukuliwe lakini sio kwa siasa za kilaghai, miaka hiyo 5 ni mwaka gani ambao mtu aliwahi kufungwa kutokana na ubadhirifu wa ripoti ya CAG?
Maji alikuwa mganga wa kienyeji?

Magufuli ali-deal na mawakala wa viongozi waliopewa kulea mali za viongozi

Lugumi +manji -kikwete

............,

.......

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapigaji mnataka kuhalalisha....ujinga kwa ujinga..

Two wrongs don't make it right..
 
Ili iwe nini?

Kwamba tuache kuwasema nyinyi majizi ya CCM?

Manji alilala wapi kipindi hiko?
 
Unahalalisha wizi na uzembe serikalini, atleast wakati wa Magufuli nidhamu ilikuwepo, sio sasa hivi wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao.
 
Back
Top Bottom