denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Ukimuondoa Sabaya, DC yupi mwingine alifanya hivyo?!Nidhamu ya Ma DC kusweka watu ndani na kupora biashara za watu?
Hujui hata maana ya "ma" zaidi ya kujiliwaza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimuondoa Sabaya, DC yupi mwingine alifanya hivyo?!Nidhamu ya Ma DC kusweka watu ndani na kupora biashara za watu?
Wakati wa Kikwete.Kuna lingine?Yona mramba walionjeshwa jela
Ova
Sabaya, Odunga, Byakanwa, Hapi, Makonda, Mnyeti etcUkimuondoa Sabaya, DC yupi mwingine alifanya hivyo?!
Hujui hata maana ya "ma" zaidi ya kujiliwaza tu.
Hata sasa hivi kwani kuna list?Nauliza, report wakati wa Magufuli, ilieleza viongozi gani (list )walokutwa na hatia?
90% ya Watanzania ni wajinga. Wanaamini wanachoambiwa na Serikali. Na hao walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli na akawabatiza jina kwa kuwaita "WANYONGE". Ndiyo hao mpaka leo wanamuita "shujaa" au "mwamba"Tehetehe, alifanikiwa "kuwazuga" wajinga wengi sana
Kiongozi yupi wa serikali aliyerudisha hela?Kwani serikali ndo imamfunga mtu au ni mahakama .hata na hivyo jpm alijua kudeal nao kwanza warudishe kilicho cheti kwanza hatakama mahakaM itamwachilia poa tu
Mnajizima data kwa makusudi aisee .magufuli ndo huwa anafunga au mahakma nyie si ndo mnasema ni diktetaKiongozi yupi wa serikali aliyerudisha hela?
Kama Rais hafungi mtu kwa nini Sukuma Gang mnajidai kulaumu uongozi wa sasa kuwa unalea viongozi mafisadi?
Kwa hivyo tuziLaumu mahakama kwa ufisadi kutochukuliwa hatua sio!?Mnajizima data kwa makusudi aisee .magufuli ndo huwa anafunga au mahakma nyie si ndo mnasema ni dikteta
Hajawahi Bora hata Samia amekamata ma DED 2 mmjawapo anashitakiwankwa wizi akiofanya awamu ya Magufuli 👇👇Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile
Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa kisiasa kama tunazijadili kisiasa
Kuna baadhi ya watu ambao wamekosa hoja ya kutetea siasa zao zilizoigharimu sana nchi hii kwa miaka 6 , sasa wameona ripoti ya CAG ndio gia mpya ya kutetea ushetani wao
Watu hawa wanadai awamu hii ndio ripoti ya CAG imeonyesha wizi mkubwa na hakuna hatua iliyochukuliwa tofauti na miaka 5 ya kiongozi wao,
Ni vizuri kuhimiza hatua zichukuliwe lakini sio kwa siasa za kilaghai, miaka hiyo 5 ni mwaka gani ambao mtu aliwahi kufungwa kutokana na ubadhirifu wa ripoti ya CAG?
Halafu watu wanaropoka tu. Walivyowajinga wanataka eti ikisomwa ripoti ya CAG basi wote wale wenye hoja za ukaguzi watupwe magereza.Hajawahi Bora hata Samia amekamata ma DED 2 mmjawapo anashitakiwankwa wizi akiofanya awamu ya Magufuli 👇👇View attachment 2948816View attachment 2948817
Hao ni mbuzi Huwa hawaelewi utaratibu wa ripoti za CAG.Halafu watu wanaropoka tu. Walivyowajinga wanataka eti ikisomwa ripoti ya CAG basi wote wale wenye hoja za ukaguzi watupwe magereza.
Mama anafuata utawala wa sheria