Hayati Magufuli aliwahi kumfunga kiongozi yoyote kutokana na ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG?

Hayati Magufuli aliwahi kumfunga kiongozi yoyote kutokana na ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG?

Ukimuondoa Sabaya, DC yupi mwingine alifanya hivyo?!

Hujui hata maana ya "ma" zaidi ya kujiliwaza tu.
Sabaya, Odunga, Byakanwa, Hapi, Makonda, Mnyeti etc
Hawa walikuwa wanaweza kumuweka mtu yoyote ndani kwa sababu yoyote kwa muda watakaotaka
 
Tehetehe, alifanikiwa "kuwazuga" wajinga wengi sana
90% ya Watanzania ni wajinga. Wanaamini wanachoambiwa na Serikali. Na hao walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli na akawabatiza jina kwa kuwaita "WANYONGE". Ndiyo hao mpaka leo wanamuita "shujaa" au "mwamba"


Very STUPID
 
Kwani serikali ndo imamfunga mtu au ni mahakama .hata na hivyo jpm alijua kudeal nao kwanza warudishe kilicho cheti kwanza hatakama mahakaM itamwachilia poa tu
Kiongozi yupi wa serikali aliyerudisha hela?

Kama Rais hafungi mtu kwa nini Sukuma Gang mnajidai kulaumu uongozi wa sasa kuwa unalea viongozi mafisadi?
 
Kiongozi yupi wa serikali aliyerudisha hela?

Kama Rais hafungi mtu kwa nini Sukuma Gang mnajidai kulaumu uongozi wa sasa kuwa unalea viongozi mafisadi?
Mnajizima data kwa makusudi aisee .magufuli ndo huwa anafunga au mahakma nyie si ndo mnasema ni dikteta
 
Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile

Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa kisiasa kama tunazijadili kisiasa

Kuna baadhi ya watu ambao wamekosa hoja ya kutetea siasa zao zilizoigharimu sana nchi hii kwa miaka 6 , sasa wameona ripoti ya CAG ndio gia mpya ya kutetea ushetani wao

Watu hawa wanadai awamu hii ndio ripoti ya CAG imeonyesha wizi mkubwa na hakuna hatua iliyochukuliwa tofauti na miaka 5 ya kiongozi wao,

Ni vizuri kuhimiza hatua zichukuliwe lakini sio kwa siasa za kilaghai, miaka hiyo 5 ni mwaka gani ambao mtu aliwahi kufungwa kutokana na ubadhirifu wa ripoti ya CAG?
Hajawahi Bora hata Samia amekamata ma DED 2 mmjawapo anashitakiwankwa wizi akiofanya awamu ya Magufuli 👇👇
Screenshot_20240322-180921.jpg
Screenshot_20240321-232524.jpg
 
Back
Top Bottom