Hayati Magufuli aliwahi kumjibu mama mmoja "unataka upanuliwe wapi?" mbele ya kamera

Hayati Magufuli aliwahi kumjibu mama mmoja "unataka upanuliwe wapi?" mbele ya kamera

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288

View: https://youtu.be/LGCNOc6eG_w?si=gbdLTmuHV9065Hfm

Nakumbuka Magufuli aliwahi kuongea matusi ya ajabu kwenye Tv nikiwa naamgalia Tv na wanangu hadi nikakosa pozi

Alikuwa kwenye ziara na wananchi waliomba kupanuliwa kwa barabara, bahati mbaya au nzuri ni mama ndiye aliyefikisha ombi hilo, basi Magufuli akamuuliza "unataka kupanuliwa wapi?"

Nikitafakari haya huenda aliyoandika Kabemdera yana ukweli
 
Nakumbuka Magufuli aliwahi kuongea matusi ya ajabu kwenye Tv nikiwa naamgalia Tv na wanangu hadi nikakosa pozi

Alikuwa kwenye ziara na wananchi waliomba kupanuliwa kwa barabara, bahati mbaya au nzuri ni mama ndiye aliyefikisha ombi hilo, basi Magufuli akamuuliza
Story yenyewe umehadithiwa au umekutana na clip iliyokatwa basi ukawahi kufungua uzi.
Wale ni wafanyabiashara ndogondogo walioomba kupanuliwa/kuongezwa eneo la soko na ndo kwa utani JPM akawauliza kwahiyo hapa nyie mnataka kupanuliwa tu!? Wakajibu ndiyo Baba
 

View: https://youtu.be/LGCNOc6eG_w?si=gbdLTmuHV9065Hfm

Nakumbuka Magufuli aliwahi kuongea matusi ya ajabu kwenye Tv nikiwa naamgalia Tv na wanangu hadi nikakosa pozi

Alikuwa kwenye ziara na wananchi waliomba kupanuliwa kwa barabara, bahati mbaya au nzuri ni mama ndiye aliyefikisha ombi hilo, basi Magufuli akamuuliza "unataka kupanuliwa wapi?"

Nikitafakari haya huenda aliyoandika Kabemdera yana ukweli

Kwa hiyo watoto wanaelewa maana ya kupanuliwa? Mwacheni Baba wa watu. Subiri zamu yako nawe usemwe
 
Mbona zilikuwa jokes tu zile? Mnakuza sana mambo ninyi

Jokes za kingono kwa mama mtu mzima siyo sawasawa

Kusema Unataka "kupanuliwa" wapi ni tofauti na kusema unataka "ipanuliwe" wapi.

Kiufupi Jiwe alileta mambo ya ngono kwenye kauli.
 
Story yenyewe umehadithiwa au umekutana na clip iliyokatwa basi ukawahi kufungua uzi.
Wale ni wafanyabiashara ndogondogo walioomba kupanuliwa/kuongezwa eneo la soko na ndo kwa utani JPM akawauliza kwahiyo hapa nyie mnataka kupanuliwa tu!? Wakajibu ndiyo Baba
Na unaona ni sawa baba aya!
 
Jokes za kingono kwa mama mtu mzima siyo sawasawa

Kusema Unataka "kupanuliwa" wapi ni tofauti na kusema unataka "ipanuliwe" wapi.

Kiufupi Jiwe alileta mambo ya ngono kwenye kauli.
Kwa nini umehisi ni za kingono? Au umewaza ni za kingono? Kupanua kunahusiana vipi na ngono? Au wewe unawaza sana ngono Sheikh wangu? Ukitaka kula lazima uliwe... Alisema Kikwete.
 
Hahah yaan watu mkiamua kumchafua mtu

Hata haikuwa barabara maskini ya Mungu, yaan unaunganisha maneno tu ionekane kakosea
 
Kwahiyo neno kupanuliwa ww unawaza kupanuliwa Nini zaidi ya Barbara??
Jokes za kingono kwa mama mtu mzima siyo sawasawa

Kusema Unataka "kupanuliwa" wapi ni tofauti na kusema unataka "ipanuliwe" wapi.

Kiufupi Jiwe alileta mambo ya ngono kwenye kauli.
 
Back
Top Bottom