Hayati Magufuli aliwahi kumjibu mama mmoja "unataka upanuliwe wapi?" mbele ya kamera

Hayati Magufuli aliwahi kumjibu mama mmoja "unataka upanuliwe wapi?" mbele ya kamera


View: https://youtu.be/LGCNOc6eG_w?si=gbdLTmuHV9065Hfm

Nakumbuka Magufuli aliwahi kuongea matusi ya ajabu kwenye Tv nikiwa naamgalia Tv na wanangu hadi nikakosa pozi

Alikuwa kwenye ziara na wananchi waliomba kupanuliwa kwa barabara, bahati mbaya au nzuri ni mama ndiye aliyefikisha ombi hilo, basi Magufuli akamuuliza "unataka kupanuliwa wapi?"

Nikitafakari haya huenda aliyoandika Kabemdera yana ukweli

🤣😆
Lakini bora maana matokeo yalikuwa ni instantly
 
Back
Top Bottom