Hayati Magufuli aliwakomaza vyema CHADEMA sasa wametambua umuhimu wa kupinga ufisadi ili kulinda rasilimali za umma

Hayati Magufuli aliwakomaza vyema CHADEMA sasa wametambua umuhimu wa kupinga ufisadi ili kulinda rasilimali za umma

Mtaongea yote mwaka huu.. Na bado more vicious pressure is on the way.. Mpaka mliteme bungo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mliyekuwa mnampinga kwa kila kitu sasa ndo amegeuka kuwa shujaa wenu wa kutolea mfano kwa uzalendo wake. Tuliwaambia mapema, pingapinga siyo mtaji wa kisiasa, lakini hamkusikia. Sasa mnakula matapishi yenu.
 
Hawa jamaa sasa wamekomaa kisiasa. Maana juu ya sakata la Bandari na mkataba tata wamekomaa.

Huko nyuma walitaka kuleta siasa za kisanii wakadhani hayati Magufuli anapenda janjajanja. Alipowatosa wakaanza kuwa pingapinga.

Wananchi wakadharau na kuwaona wapigaji tu. Ila sasa baada ya kubanwa na hayati Magufuli wametambua umuhimu wa kupinga ufisadi na hii imewakomaza kisiasa.

Sakata la Bandari na mkataba tata limewarejeshea heshima, japokuwa kiduchu.
Hayati Magufuli anawabania wapi CDM?! Maajabu ya waliokuwa sukuma gang, hayati anawezaje kubana waliohai?
 
Back
Top Bottom