Hayati Magufuli aliwapenda sana CHADEMA, vinginevyo angekifutilia mbali. Ila kwa sasa kinaweza kufutwa na Msajili wa Vyama

Hayati Magufuli aliwapenda sana CHADEMA, vinginevyo angekifutilia mbali. Ila kwa sasa kinaweza kufutwa na Msajili wa Vyama

Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.

CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.

Ni angalizo tu

Mtanikumbuka
Hakuna chama chenye wanachama wagomvi kama chama chako cha CCM wanadiriki kusema Kuwa watu tukiwakosa kwa risasi tunawamaliza kwa sumu na wala hawachukuliwi hatua yoyote. CDM mnawaogopa kwa Kuwa ni chama kinawachallenge sana mnataka vyama kama vya akina dovutwa mviburuzwe kwa CHADEMA haburuzwi mtu. kitandani kuiba kura tu ila ushindi wa chee Chee hamtapata.Na wala hamuwezi kukifuta.
 
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.

CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.

Ni angalizo tu

Mtanikumbuka

Mutungi atakufa na kuiacha CHADEMA. Kama Magufuli alivyoiacha.
 
Back
Top Bottom