WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Wewe ni mfuasi wa mwendazake hilo halina ubishi.Mimi ni mfuasi wa chadema, binafsi naona Chadema imeshajifia zamani sana.
Hata marehemu huzungumziwa
Yaani kwamba anapelekewa [emoji91]?Unaweza kuwa unagongeka muda huu
Hakuna chama chenye wanachama wagomvi kama chama chako cha CCM wanadiriki kusema Kuwa watu tukiwakosa kwa risasi tunawamaliza kwa sumu na wala hawachukuliwi hatua yoyote. CDM mnawaogopa kwa Kuwa ni chama kinawachallenge sana mnataka vyama kama vya akina dovutwa mviburuzwe kwa CHADEMA haburuzwi mtu. kitandani kuiba kura tu ila ushindi wa chee Chee hamtapata.Na wala hamuwezi kukifuta.Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.
CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.
CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Sikumaanisha hakuna wachochezi na wazushi
Wapinzani walikuwa akina Masanja Tumbo
Bila Magufuli Chadema ingekufa kitambo
Kwa sasa mzee Wassira ni mjumbe wa Kamati kuu ya nchi
Tena kaondoka kinywa wazi.Magufuli alitamani kuiua CHADEMA Seema Mungu alikuwa upande wa Chadema, akaondoka yeye.
Unadhani Mbowe kamfuata nani Ikulu?
Zamani alikuwa anakimbilia kea Mabalozi, hehe nini kimembadilisha?
Kumbe kwenye ubongo wako Chadema iko imara sana?