Hayati Magufuli aliwasaidia Chadema kuchuja Vibaraka na Makamanda original

Hayati Magufuli aliwasaidia Chadema kuchuja Vibaraka na Makamanda original

Magu alikuwa famba tu acha kumfananisha na watu wenye akili
 
Unaweza kudhani hayati Shujaa Magufuli alikuwa anataka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kumbe siyo Wananchi wa Dunia ya sasa ndio wanapenda aina ile ya Viongozi

Netanyahu karudishwa na Wananchi
Lula karudishwa na Wananchi

Trump atarudi

Boris Johnson atarudi

Rip Shujaa Magufuli
NA CCM IMRUDISHE HAYUPO MBALI YUPO CHATTLE
 
Unaweza kudhani hayati Shujaa Magufuli alikuwa anataka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kumbe siyo Wananchi wa Dunia ya sasa ndio wanapenda aina ile ya Viongozi

Netanyahu karudishwa na Wananchi
Lula karudishwa na Wananchi

Trump atarudi

Boris Johnson atarudi

Rip Shujaa Magufuli
Eti shujaa 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom