Unaweza kudhani hayati Shujaa Magufuli alikuwa anataka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kumbe siyo Wananchi wa Dunia ya sasa ndio wanapenda aina ile ya Viongozi
Netanyahu karudishwa na Wananchi
Lula karudishwa na Wananchi
Trump atarudi
Boris Johnson atarudi
Rip Shujaa Magufuli