Hayati Magufuli aliwezaje kukopa kwa Wazungu ikiwa aliharibu uhusiano na nchi za Ulaya?

Hayati Magufuli aliwezaje kukopa kwa Wazungu ikiwa aliharibu uhusiano na nchi za Ulaya?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Leo 10:15pm 07/05/2022

Kabla ya Rais Magufuli kuingia madarakani Mwaka 2015, Tanzania ilikuwa katika uchumi wa chini, ukiwa katika uchumi wa chini kabisa, sera ya taifa na lengo linapaswa kuwa kuelekea uchumi wa kati wa ngazi ya chini, hii ni hatua moja kutoka katika uchumi wa chini,adhma na ndoto ya Rais John Pombe Magufuli ilikuwa kuipeleka Tanzania uchumi wa kati,Benki ya Dunia hutazama pato la taifa kwa mfano kupitia jumla ya utajiri wa rasilimali zetu zote,Ujenzi wa miundo mbinu itayokuja kuiingizia Taifa fedha za kigeni kutokana na shughuli mbalimbali zitakazotokana na miundo mbinu hiyo na utajiri wa kifedha kugawanya na idadi ya watu wa Tanzania,

Kwa calculation zake Rais Magufuli iliwezekana, ndoto ya Rais Magufuli ilikuwa ni kuingia Uchumi wa kati,sasa ataingia vipi, Mambo mawili akataka kuyatimiza ambayo ndio yatakuwa kichocheo cha kuiingiza Tanzania katika uchumi wa kati,Mambo hayo ni Umeme wa Uhakika kutoka Bwawa la Julius Nyerere,Rufiji na Uchumi wa Viwanda,hivi viwili kwa calculation zake vingeweza kutufikisha kwenye kundi la Nchi zenye Uchumi wa Kipato cha Kati (MIC),kwa hakika aliwaza vyema na alitimiza ndoto hiyo,ili kufanikisha hilo Rais Magufuli alihimiza mambo yafuatayo,

•Ujenzi wa Viwanda nchini Tanzania,viwanda vinahitaji malighafi (kilimo, mifugo, uvuvi, madini, nk);.
• Ujenzi wa bwawa la Umeme la Rufiji litalozalisha megawatts 2,115 ikiwa sasa hivi tunatumia megawatts 1,500 Ili Sekta hizo zizalishe malighafi za kutosheleza mahitaji ya matumizi ya ndani tunahitaji Umeme wa uhakika kutoka Bwawa la Julius Nyerere kule Rufiji,viwanda, na mauzo ya nje ya nchi, lazima kuwepo miundo mbinu bora na imara (usafiri ardhini, majini na angani, maji, nishati).
• Kumudu uendeshaji na ukarabati (Operations & Maintenance) wa miundo mbinu hiyo, kunahitaji rasilimaliwatu wenye uwezo na ujuzi;
• Kupata rasilimaliwatu wa aina hiyo kunahitajika Uzalendo kwa Taifa la Tanzania,huduma bora za jamii (elimu na afya),hii kwa ujumla ilimfanya Rais Magufuli kuanza kuijenga upya Tanzania,laiti Mungu angempa maisha marefu basi watoto na wajukuu wetu wangefaidi matunda ya utekelezwaji wa ndoto za Rais Magufuli.

-Ndoto ya Rais Magufuli kuipeleka Tanzania uchumi wa kati iliwachukiza wazungu na vibaraka wao.

Nimeona nukuu kutoka kwa Wassira ikisema "Magufuli alisema hatuhitaji mikopo tunajenga kwa kutumia fedha zetu, Tanzania ni tajiri lakini yeye ndiye aliyekopa sana kuliko Marais wote,alikopa mikopo yenye riba kubwa kwa kificho kutekeleza ujenzi,deni la Taifa limepanda sana ndani ya miaka 6 ya Uongozi wake" sasa niulize swali, Serikali ya CCM ya Awamu ya tano,iliyoongozwa na Rais Magufuli,ambayo haikuwa na mahusiano mazuri na nchi zote za Ulaya iliwezaje kukopa kwa Serikali za Ulaya ambazo haina mahusiano nazo mazuri!?

-Vibaraka walivyokwenda Ulaya kuzuia mikopo isije Tanzania,kimbilio la Rais Magufuli likawa Benki ya Maendeleo ya Afrika,AFDB.

Benki ya Afrika ndio ilikuwa kimbilio la Rais Magufuli,na hata mtendaji wake Mkuu alifika Chato,kuhani msiba wa rafiki yake,AfDB wamekuwa wakitoa fedha kwenye sekta za maji, nishati na nyinginezo nchini Tanzania na wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Jiji la Arusha mara baada ya kutembelea Matenki ya Maji ya Themi Hills, Ofisi ya Kanda ya AUWSA-Moshono, Kituo cha kusukuma Maji Namba 4 na Tenki la Maji la Seedfarm lenye ujazo wa lita milioni 10 mkoani Arusha,sasa wanaojua madeni ya awamu ya tano watuambie alikopa kiasi gani hapo Benki ya Afrika? na hicho alichokikopa ndio hicho wanachotuambia kikubwa!?

Vyama vya upinzani nchini Tanzania na wanaharakati wa haki za binadamu hapa nchini Tanzania na wa kimataifa walikuwa wakiweka shinikizo la kutotolewa mikopo kwa Tanzania hadi pale Tanzania itakaporuhusu wanafunzi wanaopata ujauzito waruhusiwe kuendelea na mfumo rasmi wa elimu,kiongozi wa chama upinzani cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aliwahi kusema kuwa Benki ya Dunia haitakiwi kuikopesha Tanzania dola milioni 500 za elimu kabla ya mabadiliko ya kisera kufanyika.Kwa mujibu wa nyaraka za Benki ya Dunia, pamoja na mambo mengine, mkopo huu ulikusudiwa kwenda kusaidia upatikanaji wa elimu bora na kwa urahisi kwa wanafunzi waliokuwa wanarudi shule baada ya kuwa wamepata ujauzito. Lakini mradi huu wa elimu ulikuwa ni kupitia elimu mbadala na si katika mfumo rasmi.

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt Akinumwi Adesina,alifika mara kwa mara nchini Tanzania na alimpongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyokuwaanaifanya kuimarisha uchumi wa Tanzania na alijadiliana mambo kadhaa na Rais Magufuli yakiwemo namna benki hiyo ilivyosaidia juhudi za maendeleo za Tanzania tangu mwaka 1971 na inavyoendelea kusaidia katika ufadhili wa miradi mbalimbali ya maendeleo,nikimnukuu katika moja ya mahojiano yake alisema
"Yote kwa yote nimemhakikishia Rais Magufuli kuwa AfDB itamuunga mkono katika mipango yake na maono yake ili tuweze kuisaidia Tanzania kukua zaidi, nimefurahi kuzungumza na Mhe. Rais na naona Tanzania ipo katika njia sahihi," alisema Dkt Adesina kwa mujibu wa taarifa hiyo ya ikulu wakati wa Awamu ya tano,AfDB ilifadhili miradi ya maendeleo yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 3.457 (sawa na Shilingi Trilioni 7.78 Tanzania) zikiwemo fedha za miradi 25 zilizotolewa kuanzia mwezi Novemba, 2017 yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 1.986 (Shilingi Trilioni 4.47 Kitanzania).

Nimalizie kwa kuishukuru Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) kwa kutoa mikopo kwa Serikali ya Tanzania kusaidia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati iliyobuni ajira kwa Watanzania wengi na iliyotarajiwa kubuni ajira nyingi kwa Watanzania mara tu Bwawa la Julius Nyerere,Rufiji litakapoisha,ilitarajiwa tani zaidi ya laki tano za mpunga na mazao mengine kuzalishwa pembeni ya Bwawa la Umeme la Julius Nyerere pale Rufiji na tungeweza kuuza mchele (export) nje ya nchi na kuliingizia Taifa fedha za kigeni na hivyo kukuza thamani ya shilingi ya Tanzania,hivi ni kati ya vitu ambavyo viliivutia Benki ya dunia kuitangaza Tanzania kama taifa lenye kipato cha kati mnamo mwezi Julai 2020.

Mbali na uongozi thabiti wa rais Magufuli katika kudhibiti matumizi ya fedha na kukabiliana na ufujaji wake,taifa la Tanzania lilitarajiwa kuimarika kiviwanda hali ya kwamba lina karibia viwanda 60 tangu lilipojipatia Uhuru, huku uongozi wa rais Magufuli ukifanikiwa kuanzisha zaidi ya viwanda elfu nane katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake,hivi sasa nchini Tanzania tunaunganisha matinga humu nchini,tunaunganisha mabasi na kuzalisha nondo ,mabati na kadhalika,kufikia tar 01/07/2020 siku ya Jumatano,Benki ya Dunia,iliiorodhesha Tanzania katika orodha ya nchi za uchumi wa kipato cha kati,kabla ya lengo ya dira ya Taifa kuiingiza Tanzania katika uchumi wa kati mwaka 2025.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
Hata kama ni biashara bado mahusiano mazuri kati ya wanaofanya biashara ni muhimu.

Hivyo hiyo hoja inakosa nguvu.

Uzuri wake ni kuwa alikua anafanya mambo ambayo yanatunufaisha wote na yanaonekana na wote.

Sio sasa hivi tunachukua fedha nyingi kwa mambo yasiyokuwa na tija.

Mfano fedha za uviko tulilazimishwa kuchukua zikaishia kwenye vyoo.
 
Hata kama ni biashara bado mahusiano mazuri kati ya wanaofanya biashara ni muhimu.

Hivyo hiyo hoja inakosa nguvu.

Uzuri wake ni kuwa alikua anafanya mambo ambayo yanatunufaisha wote na yanaonekana na wote.
Hapana.
Bank za biashara zinalenga faida, si siasa.

Kuhusu alichokuwa anafanya na hiyo mikopo anastahili pongezi kwa sababu miradi ya maendeleo ipo na tunaiona, LAKINI kwa gharama gani?

Wote tunajenga nchi moja, tunastahili heshima na kuwekwa wazi juu ya nini tunagharamikia ili tupate maendeleo.

Hakukuwa na ulazima tumalize ujenzi wa Tanzania katika awamu ya 5, tunafanya pale tunapoweza kwa uaminifu na tunatoa nafasi kwa wengine kufanya sehemu yao.

Sasa tunajenga reli ya kisasa kwa gharama ya kuchukua pesa ya mfanyabiashara kutoka akaunti yake ya bank ili ulipe mkopo wa biashara wa kujenga reli wenye riba kubwa? Mfanya biashara mwenyewe unakuta pesa na yeye alikopa, au ni za wateja wanasubiri huduma. Haikuwa sahihi.
 
Leo 10:15pm 07/05/2022

Kabla ya Rais Magufuli kuingia madarakani Mwaka 2015,Tanzania ilikuwa katika uchumi wa chini,ukiwa katika uchumi wa chini kabisa,sera ya taifa na lengo linapaswa kuwa kuelekea uchumi wa kati wa ngazi ya chini,hii ni hatua moja kutoka katika uchumi wa chini,adhma na ndoto ya Rais John Pombe Magufuli ilikuwa kuipeleka Tanzania uchumi wa kati,Benki ya Dunia hutazama pato la taifa kwa mfano kupitia jumla ya utajiri wa rasilimali zetu zote,Ujenzi wa miundo mbinu itayokuja kuiingizia Taifa fedha za kigeni kutokana na shughuli mbalimbali zitakazotokana na miundo mbinu hiyo na utajiri wa kifedha kugawanya na idadi ya watu wa Tanzania,

Kwa calculation zake Rais Magufuli iliwezekana,ndoto ya Rais Magufuli ilikuwa ni kuingia Uchumi wa kati,sasa ataingia vipi,Mambo mawili akataka kuyatimiza ambayo ndio yatakuwa kichocheo cha kuiingiza Tanzania katika uchumi wa kati,Mambo hayo ni Umeme wa Uhakika kutoka Bwawa la Julius Nyerere,Rufiji na Uchumi wa Viwanda,hivi viwili kwa calculation zake vingeweza kutufikisha kwenye kundi la Nchi zenye Uchumi wa Kipato cha Kati (MIC),kwa hakika aliwaza vyema na alitimiza ndoto hiyo,ili kufanikisha hilo Rais Magufuli alihimiza mambo yafuatayo,

•Ujenzi wa Viwanda nchini Tanzania,viwanda vinahitaji malighafi (kilimo, mifugo, uvuvi, madini, nk);.
• Ujenzi wa bwawa la Umeme la Rufiji litalozalisha megawatts 2,115 ikiwa sasa hivi tunatumia megawatts 1,500 Ili Sekta hizo zizalishe malighafi za kutosheleza mahitaji ya matumizi ya ndani tunahitaji Umeme wa uhakika kutoka Bwawa la Julius Nyerere kule Rufiji,viwanda, na mauzo ya nje ya nchi, lazima kuwepo miundo mbinu bora na imara (usafiri ardhini, majini na angani, maji, nishati).
• Kumudu uendeshaji na ukarabati (Operations & Maintenance) wa miundo mbinu hiyo, kunahitaji rasilimaliwatu wenye uwezo na ujuzi;
• Kupata rasilimaliwatu wa aina hiyo kunahitajika Uzalendo kwa Taifa la Tanzania,huduma bora za jamii (elimu na afya),hii kwa ujumla ilimfanya Rais Magufuli kuanza kuijenga upya Tanzania,laiti Mungu angempa maisha marefu basi watoto na wajukuu wetu wangefaidi matunda ya utekelezwaji wa ndoto za Rais Magufuli.

-Ndoto ya Rais Magufuli kuipeleka Tanzania uchumi wa kati iliwachukiza wazungu na vibaraka wao.

Nimeona nukuu kutoka kwa Wassira ikisema "Magufuli alisema hatuhitaji mikopo tunajenga kwa kutumia fedha zetu, Tanzania ni tajiri lakini yeye ndiye aliyekopa sana kuliko Marais wote,alikopa mikopo yenye riba kubwa kwa kificho kutekeleza ujenzi,deni la Taifa limepanda sana ndani ya miaka 6 ya Uongozi wake" sasa niulize swali, Serikali ya CCM ya Awamu ya tano,iliyoongozwa na Rais Magufuli,ambayo haikuwa na mahusiano mazuri na nchi zote za Ulaya iliwezaje kukopa kwa Serikali za Ulaya ambazo haina mahusiano nazo mazuri!?

-Vibaraka walivyokwenda Ulaya kuzuia mikopo isije Tanzania,kimbilio la Rais Magufuli likawa Benki ya Maendeleo ya Afrika,AFDB.

Benki ya Afrika ndio ilikuwa kimbilio la Rais Magufuli,na hata mtendaji wake Mkuu alifika Chato,kuhani msiba wa rafiki yake,AfDB wamekuwa wakitoa fedha kwenye sekta za maji, nishati na nyinginezo nchini Tanzania na wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Jiji la Arusha mara baada ya kutembelea Matenki ya Maji ya Themi Hills, Ofisi ya Kanda ya AUWSA-Moshono, Kituo cha kusukuma Maji Namba 4 na Tenki la Maji la Seedfarm lenye ujazo wa lita milioni 10 mkoani Arusha,sasa wanaojua madeni ya awamu ya tano watuambie alikopa kiasi gani hapo Benki ya Afrika? na hicho alichokikopa ndio hicho wanachotuambia kikubwa!?

Vyama vya upinzani nchini Tanzania na wanaharakati wa haki za binadamu hapa nchini Tanzania na wa kimataifa walikuwa wakiweka shinikizo la kutotolewa mikopo kwa Tanzania hadi pale Tanzania itakaporuhusu wanafunzi wanaopata ujauzito waruhusiwe kuendelea na mfumo rasmi wa elimu,kiongozi wa chama upinzani cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aliwahi kusema kuwa Benki ya Dunia haitakiwi kuikopesha Tanzania dola milioni 500 za elimu kabla ya mabadiliko ya kisera kufanyika.Kwa mujibu wa nyaraka za Benki ya Dunia, pamoja na mambo mengine, mkopo huu ulikusudiwa kwenda kusaidia upatikanaji wa elimu bora na kwa urahisi kwa wanafunzi waliokuwa wanarudi shule baada ya kuwa wamepata ujauzito. Lakini mradi huu wa elimu ulikuwa ni kupitia elimu mbadala na si katika mfumo rasmi.

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt Akinumwi Adesina,alifika mara kwa mara nchini Tanzania na alimpongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyokuwaanaifanya kuimarisha uchumi wa Tanzania na alijadiliana mambo kadhaa na Rais Magufuli yakiwemo namna benki hiyo ilivyosaidia juhudi za maendeleo za Tanzania tangu mwaka 1971 na inavyoendelea kusaidia katika ufadhili wa miradi mbalimbali ya maendeleo,nikimnukuu katika moja ya mahojiano yake alisema
"Yote kwa yote nimemhakikishia Rais Magufuli kuwa AfDB itamuunga mkono katika mipango yake na maono yake ili tuweze kuisaidia Tanzania kukua zaidi, nimefurahi kuzungumza na Mhe. Rais na naona Tanzania ipo katika njia sahihi," alisema Dkt Adesina kwa mujibu wa taarifa hiyo ya ikulu wakati wa Awamu ya tano,AfDB ilifadhili miradi ya maendeleo yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 3.457 (sawa na Shilingi Trilioni 7.78 Tanzania) zikiwemo fedha za miradi 25 zilizotolewa kuanzia mwezi Novemba, 2017 yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 1.986 (Shilingi Trilioni 4.47 Kitanzania).

Nimalizie kwa kuishukuru Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) kwa kutoa mikopo kwa Serikali ya Tanzania kusaidia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati iliyobuni ajira kwa Watanzania wengi na iliyotarajiwa kubuni ajira nyingi kwa Watanzania mara tu Bwawa la Julius Nyerere,Rufiji litakapoisha,ilitarajiwa tani zaidi ya laki tano za mpunga na mazao mengine kuzalishwa pembeni ya Bwawa la Umeme la Julius Nyerere pale Rufiji na tungeweza kuuza mchele (export) nje ya nchi na kuliingizia Taifa fedha za kigeni na hivyo kukuza thamani ya shilingi ya Tanzania,hivi ni kati ya vitu ambavyo viliivutia Benki ya dunia kuitangaza Tanzania kama taifa lenye kipato cha kati mnamo mwezi Julai 2020.

Mbali na uongozi thabiti wa rais Magufuli katika kudhibiti matumizi ya fedha na kukabiliana na ufujaji wake,taifa la Tanzania lilitarajiwa kuimarika kiviwanda hali ya kwamba lina karibia viwanda 60 tangu lilipojipatia Uhuru, huku uongozi wa rais Magufuli ukifanikiwa kuanzisha zaidi ya viwanda elfu nane katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake,hivi sasa nchini Tanzania tunaunganisha matinga humu nchini,tunaunganisha mabasi na kuzalisha nondo ,mabati na kadhalika,kufikia tar 01/07/2020 siku ya Jumatano,Benki ya Dunia,iliiorodhesha Tanzania katika orodha ya nchi za uchumi wa kipato cha kati,kabla ya lengo ya dira ya Taifa kuiingiza Tanzania katika uchumi wa kati mwaka 2025.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mikopo ya biashara au benki binafsi hata Putin akitaka Kukopa Marekani atapewa maana ina riba kubwa na mda mfupi wa marejesho..

Ila concessional loans hupewi na Wala ile mikopo yenye sura ya msaada kama wa covid hupewi
 
Hata kama ni biashara bado mahusiano mazuri kati.
Mikopo mingi iliyotolewa awamu ya tano ni ile iliyosainiwa awamu ya nne na kuiva kipindi ambacho Magufuli yupo madarakani, hili Wanasiasa wanalifahamu lakini hawawezi kusema.

Magufuli alikuwa makini sana kwenye suala la matumizi ya fedha, asingekubali kuchukua Mikopo yenye Masharti magumu, ndiyo maana wakati wa kuanzisha Mradi wa Reli "SGR" waliomba Mkopo lakini ukawa na masharti magumu, wakaacha na kuanza kujenga kwa fedha za ndani.
 
Hapana.
Bank za biashara zinalenga faida, si siasa.

Kuhusu alichokuwa anafanya na hiyo mikopo anastahili pongezi kwa sababu miradi ya maendeleo ipo na tunaiona, LAKINI kwa gharama gani?

Wote tunajenga nchi moja, tunastahili heshima na kuwekwa wazi juu ya nini tunagharamikia ili tupate maendeleo.

Hakukuwa na ulazima tumalize ujenzi wa Tanzania katika awamu ya 5, tunafanya pale tunapoweza kwa uaminifu na tunatoa nafasi kwa wengine kufanya sehemu yao.

Sasa tunajenga reli ya kisasa kwa gharama ya kuchukua pesa ya mfanyabiashara kutoka akaunti yake ya bank ili ulipe mkopo wa biashara wa kujenga reli wenye riba kubwa? Mfanya biashara mwenyewe unakuta pesa na yeye alikopa, au ni za wateja wanasubiri huduma. Haikuwa sahihi.
Siasa ina play role hata kwenye biashara.

Mfano nchi kama korea kaskazini , Iran au Russia zote zina matatizo kiuchumi kutokana na aina ya siasa wanazofanya.

Ni benki chache sana duniani zitafanya biashara na let say North Korea au Iran.

Sasa kama kweli Magufuli alikua hapatani na West kwa kiasi hicho wasingempa fedha.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Siasa ina play role hata kwenye biashara.

Mfano nchi kama korea kaskazini , Iran au Russia zote zina matatizo kiuchumi...
JPM Hajawahi kutuingiza moja kwa moja katika udui na nchi nyingine, ila amekuwa akiwa na misimamo tofauti na baadhi ya sera kutoka taasisi wa watu wa nchi nyingine.

Hili haliwezi fanya nchi ikakosa access ya kufanya biashara na mabank ya kibiashara kutoka hizo nchi.

Yaani uzuie ng'o za ushoga au uzuie makinikia halafu bank za biashara zikususie?

Au uchome vifaranga vya kenya halafu bank za kenya zigome kukupa mkopo?
 
Leo 10:15pm 07/05/2022

Kabla ya Rais Magufuli kuingia madarakani Mwaka 2015,Tanzania ilikuwa katika uchumi wa chini,ukiwa katika uchumi wa chini kabisa,sera ya taifa na lengo linapaswa kuwa kuelekea uchumi wa kati wa ngazi ya chini,hii ni hatua moja kutoka katika uchumi wa chini,adhma na ndoto ya Rais John Pombe Magufuli ilikuwa kuipeleka Tanzania uchumi wa kati,Benki ya Dunia hutazama pato la taifa kwa mfano kupitia jumla ya utajiri wa rasilimali zetu zote,Ujenzi wa miundo mbinu itayokuja kuiingizia Taifa fedha za kigeni kutokana na shughuli mbalimbali zitakazotokana na miundo mbinu hiyo na utajiri wa kifedha kugawanya na idadi ya watu wa Tanzania,

Kwa calculation zake Rais Magufuli iliwezekana,ndoto ya Rais Magufuli ilikuwa ni kuingia Uchumi wa kati,sasa ataingia vipi,Mambo mawili akataka kuyatimiza ambayo ndio yatakuwa kichocheo cha kuiingiza Tanzania katika uchumi wa kati,Mambo hayo ni Umeme wa Uhakika kutoka Bwawa la Julius Nyerere,Rufiji na Uchumi wa Viwanda,hivi viwili kwa calculation zake vingeweza kutufikisha kwenye kundi la Nchi zenye Uchumi wa Kipato cha Kati (MIC),kwa hakika aliwaza vyema na alitimiza ndoto hiyo,ili kufanikisha hilo Rais Magufuli alihimiza mambo yafuatayo,

•Ujenzi wa Viwanda nchini Tanzania,viwanda vinahitaji malighafi (kilimo, mifugo, uvuvi, madini, nk);.
• Ujenzi wa bwawa la Umeme la Rufiji litalozalisha megawatts 2,115 ikiwa sasa hivi tunatumia megawatts 1,500 Ili Sekta hizo zizalishe malighafi za kutosheleza mahitaji ya matumizi ya ndani tunahitaji Umeme wa uhakika kutoka Bwawa la Julius Nyerere kule Rufiji,viwanda, na mauzo ya nje ya nchi, lazima kuwepo miundo mbinu bora na imara (usafiri ardhini, majini na angani, maji, nishati).
• Kumudu uendeshaji na ukarabati (Operations & Maintenance) wa miundo mbinu hiyo, kunahitaji rasilimaliwatu wenye uwezo na ujuzi;
• Kupata rasilimaliwatu wa aina hiyo kunahitajika Uzalendo kwa Taifa la Tanzania,huduma bora za jamii (elimu na afya),hii kwa ujumla ilimfanya Rais Magufuli kuanza kuijenga upya Tanzania,laiti Mungu angempa maisha marefu basi watoto na wajukuu wetu wangefaidi matunda ya utekelezwaji wa ndoto za Rais Magufuli.

-Ndoto ya Rais Magufuli kuipeleka Tanzania uchumi wa kati iliwachukiza wazungu na vibaraka wao.

Nimeona nukuu kutoka kwa Wassira ikisema "Magufuli alisema hatuhitaji mikopo tunajenga kwa kutumia fedha zetu, Tanzania ni tajiri lakini yeye ndiye aliyekopa sana kuliko Marais wote,alikopa mikopo yenye riba kubwa kwa kificho kutekeleza ujenzi,deni la Taifa limepanda sana ndani ya miaka 6 ya Uongozi wake" sasa niulize swali, Serikali ya CCM ya Awamu ya tano,iliyoongozwa na Rais Magufuli,ambayo haikuwa na mahusiano mazuri na nchi zote za Ulaya iliwezaje kukopa kwa Serikali za Ulaya ambazo haina mahusiano nazo mazuri!?

-Vibaraka walivyokwenda Ulaya kuzuia mikopo isije Tanzania,kimbilio la Rais Magufuli likawa Benki ya Maendeleo ya Afrika,AFDB.

Benki ya Afrika ndio ilikuwa kimbilio la Rais Magufuli,na hata mtendaji wake Mkuu alifika Chato,kuhani msiba wa rafiki yake,AfDB wamekuwa wakitoa fedha kwenye sekta za maji, nishati na nyinginezo nchini Tanzania na wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Jiji la Arusha mara baada ya kutembelea Matenki ya Maji ya Themi Hills, Ofisi ya Kanda ya AUWSA-Moshono, Kituo cha kusukuma Maji Namba 4 na Tenki la Maji la Seedfarm lenye ujazo wa lita milioni 10 mkoani Arusha,sasa wanaojua madeni ya awamu ya tano watuambie alikopa kiasi gani hapo Benki ya Afrika? na hicho alichokikopa ndio hicho wanachotuambia kikubwa!?

Vyama vya upinzani nchini Tanzania na wanaharakati wa haki za binadamu hapa nchini Tanzania na wa kimataifa walikuwa wakiweka shinikizo la kutotolewa mikopo kwa Tanzania hadi pale Tanzania itakaporuhusu wanafunzi wanaopata ujauzito waruhusiwe kuendelea na mfumo rasmi wa elimu,kiongozi wa chama upinzani cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aliwahi kusema kuwa Benki ya Dunia haitakiwi kuikopesha Tanzania dola milioni 500 za elimu kabla ya mabadiliko ya kisera kufanyika.Kwa mujibu wa nyaraka za Benki ya Dunia, pamoja na mambo mengine, mkopo huu ulikusudiwa kwenda kusaidia upatikanaji wa elimu bora na kwa urahisi kwa wanafunzi waliokuwa wanarudi shule baada ya kuwa wamepata ujauzito. Lakini mradi huu wa elimu ulikuwa ni kupitia elimu mbadala na si katika mfumo rasmi.

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt Akinumwi Adesina,alifika mara kwa mara nchini Tanzania na alimpongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyokuwaanaifanya kuimarisha uchumi wa Tanzania na alijadiliana mambo kadhaa na Rais Magufuli yakiwemo namna benki hiyo ilivyosaidia juhudi za maendeleo za Tanzania tangu mwaka 1971 na inavyoendelea kusaidia katika ufadhili wa miradi mbalimbali ya maendeleo,nikimnukuu katika moja ya mahojiano yake alisema
"Yote kwa yote nimemhakikishia Rais Magufuli kuwa AfDB itamuunga mkono katika mipango yake na maono yake ili tuweze kuisaidia Tanzania kukua zaidi, nimefurahi kuzungumza na Mhe. Rais na naona Tanzania ipo katika njia sahihi," alisema Dkt Adesina kwa mujibu wa taarifa hiyo ya ikulu wakati wa Awamu ya tano,AfDB ilifadhili miradi ya maendeleo yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 3.457 (sawa na Shilingi Trilioni 7.78 Tanzania) zikiwemo fedha za miradi 25 zilizotolewa kuanzia mwezi Novemba, 2017 yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 1.986 (Shilingi Trilioni 4.47 Kitanzania).

Nimalizie kwa kuishukuru Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) kwa kutoa mikopo kwa Serikali ya Tanzania kusaidia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati iliyobuni ajira kwa Watanzania wengi na iliyotarajiwa kubuni ajira nyingi kwa Watanzania mara tu Bwawa la Julius Nyerere,Rufiji litakapoisha,ilitarajiwa tani zaidi ya laki tano za mpunga na mazao mengine kuzalishwa pembeni ya Bwawa la Umeme la Julius Nyerere pale Rufiji na tungeweza kuuza mchele (export) nje ya nchi na kuliingizia Taifa fedha za kigeni na hivyo kukuza thamani ya shilingi ya Tanzania,hivi ni kati ya vitu ambavyo viliivutia Benki ya dunia kuitangaza Tanzania kama taifa lenye kipato cha kati mnamo mwezi Julai 2020.

Mbali na uongozi thabiti wa rais Magufuli katika kudhibiti matumizi ya fedha na kukabiliana na ufujaji wake,taifa la Tanzania lilitarajiwa kuimarika kiviwanda hali ya kwamba lina karibia viwanda 60 tangu lilipojipatia Uhuru, huku uongozi wa rais Magufuli ukifanikiwa kuanzisha zaidi ya viwanda elfu nane katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake,hivi sasa nchini Tanzania tunaunganisha matinga humu nchini,tunaunganisha mabasi na kuzalisha nondo ,mabati na kadhalika,kufikia tar 01/07/2020 siku ya Jumatano,Benki ya Dunia,iliiorodhesha Tanzania katika orodha ya nchi za uchumi wa kipato cha kati,kabla ya lengo ya dira ya Taifa kuiingiza Tanzania katika uchumi wa kati mwaka 2025.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.

Too long ! Uvivu kusoma
 
JPM Hajawahi kutuingiza moja kwa moja katika udui na nchi nyingine, ila amekuwa akiwa na misimamo tofauti na baadhi ya sera kutoka taasisi wa watu wa
Tulipopata uhuru Mwl. Julius Nyerere alitutangazia maadui watatu: maradhi, ujinga na umasikini. Awamu zote zimekuwa zikipambana nayo kwa nafasi yake bila mafanikio ya kuridhisha.

Aina ya uongozi wa Magufuli ulilenga walau kufanya mambo kwa utofauti na matokeo chanya tuliyaona ndani ya muda mfupi.

JPM hakutaka kufanya kila kitu peke yake, ila alitaka walau tuwe tulipopaswa kuwa baada ya miaka 60 ya uhuru.

Ukweli ni kuwa tupo nyuma sana, miaka 60 ya uhuru:

• Hatuna vyanzo vya uhakika vya umeme
• Tuna mfumo na miundombinu duni ya elimu
• Hatuna miundombinu bora ya usafiri kuanzia nchi kavu, maji na hata anga
• Hatuna huduma na miundombinu bora ya afya
• Tumeshindwa hata kuhamia Dodoma
• You name them

Kama Rais Mzalendo, asingeweza kufanya mambo kwa mazoea. Tuna utajiri mwingi sana lakini sisi ni masikini sana, yote ni kwa kuwa tuna ombwe la uongozi.

Marekani na mataifa mengine wana malengo na masilahi yao. Kama wataona una-serve interests zao watakuwa na wewe, kama hauwasaidii chochote wataachana na wewe na kama utawaletea vizingiti kwenye ku-achieve interests zao watapambana na wewe. Ndiyo mfumo wa dunia ulivyo.

Rais na Mzalendo wa kweli ni yule atakayesimamia malengo ya nchi na wananchi wake.

Magufuli hakutaka tuwe wanyonge mbele ya mataifa ya kinyonyaji. Na ndio sababu he pulled us out of a handful of unfair deals and contracts. Kwamba wao wakichukua madini ya kila aina ya thamani kubwa eti watupoze kwa vyandarua na au ARVs. Yes, tunavihitaji hivyo vitu lakini not at the expense of unfair deals.

Alitaka tufaidike na kupata stahiki yetu halali. Hakufanikiwa sana, ila walau alituweka sehemu nzuri. Mambo ni mengi, ila kwa kuhitimisha, asingeweza kuepuka kukopa, lakini tumhukumu kwa kuangalia effectiveness ya hiyo mikopo.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
 
Kwa maelezo yako wanaosema kwamba aliharibu mahusiano na nchi nyingine walikua waongo na wazandiki tu.
Chumvi za kiupinzani katika siasa. Linachukuliwa jambo moja la kawaida, linakuzwa kuonekana ni vita baina ya nchi mbili.
 
Back
Top Bottom