Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Nimekuwia radhi.Naomba uniwie radhi kukuita goigoi wa kifikira...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwia radhi.Naomba uniwie radhi kukuita goigoi wa kifikira...
Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
Mkuu Mimi nimeshuhudia matajiri watatu wakipewa barua hizo za kodi,tajiri mmoja ambae mwaka 2018 alinunua nyumba Shanghai,China zaidi ya billioni 2 alipewa barua ya kulipa billioni 2,tajiri wa pili yeye ana kiwanda Cha plastic alinunua ghorofa Kariakoo kwa billioni 1 yeye akapewa barua ya kodi ya Milioni 600 na wa tatu yeye alikuwa na Bureau yeye alikuwa na uwezo wa kununua hata dola million 1 kwa siku,wakati wa ambush ya kukagua bureau alikutwa na dola Million 1 na sh million 800 yeye akapewa barua ya kulipa kodi million 500, Sasa nikuulize ndugu yangu kwa akili za kawaida watu awa walionewa!!??Mkuu sang'udi, Kama uwezo upo ni sahihi kabisa, na sina tatizo kupata kiongozi mwenye uthubutu wa kiwango hicho na kwa hilo 👏👏👍👍 kwa JPM(RIP)
Nitaandika kwa urefu ila tafadhali kama hutojali soma ili uelewe hoja yangu.
Pamoja na hayo aliyofanya, biashara hazikupaswa zifungwe, account za wafanyabiashara hazikupaswa zifungwe, mishahara kwa kiasi fulani ilipaswa iongezwe, huduma za uuzaji mazao hazikupaswa kuondolewa kwa wafanya biashara na kufanya ni state business na mengine mengi.
Nasema hivi kwasababu hivi ndivyo vitu vinavyomwezesha raia wa kawaida kufanya maendeleo binafsi na kurithisha vizazi vya mbele wakati yeye akiendelea kupokea pension ya uraisi na kushuhudia vizazi vyake vikifurahia urithi alioacha na akiendelea kupokea sifa za treni na ndege alizoacha.
NITAKUPA MFANO HAI WA MAMBO YALIYOTOKEA CHINI YA SERIKALI YA JPM:
Wote tunajua sheria zetu wakati mwingine huwa zinakuwa na mapungufu ya kuzitekeleza, mfano sheria za kuwataka wenye kampuni za consultancy wajisajili na VAT na waandae mahesabu bila kujali uwezo wa mtaji.
Kama mtu ana kakampuni kake ka sheria, kameajiri watu 5, sheria inamtaka aandae mahesabu kila mwaka na ajiunge VAT. Gharama ya kuandaa mahesabu si chini ya Tsh 500,000 mpaka 1,000,000 nje ya gharama za uhasibu, gharama ya kufile VAT si chini ya 50,000 mpaka 100,000 kila mwezi.
Sasa huyu mwenye kakampuni hakuwa akifile hesabu za mwisho kwa kutokujua au kwa kupuuza kwa sababu ya gharama za ukaguzi na uhasibu, na akawa anaenda kufanya makadirio kila mwaka kisha analipa kodi anaendelea na biashara kama presumptive tax payers wanavyofanya ilihali yeye ni corporate.
Sasa serikali kwa sababu ina marejesho ya mkopo wa reli ikatumia sheria ya kutokupeleka hesabu TRA ya adhabu ya Tsh 225,000 kila mwezi, na ikatumia sheria ya kutoa assessment kukadiria kodi ambayo huenda ingepatikana kwa kufanya examination of books of accounts.
Ikachukua % ya turnover ya miaka 5 ikaiita profit ikacharge penalty na interest kila mwezi ikapata makisio ya kodi ikajumlisha na zile 225,000 kila mwezi za miaka 5 na kumtaka mfanya biashara alipe plus interest each month for 5 years na kuzuia akaunti yake ya biashara huenda yenye pesa za wateja ikimlazimisha kodi ilipwe, mfanyabiashara akashindwa, biashara ikafungwa. Ukumbuke kwa huo mfumo uliotumika inaweza kuja hata kodi ya M40-M50, pesa ambayo mfanya biashara huyo hajawahi kuota kuishika kwa pamoja.
Kisheria raisi alikuwa sahihi na atakuwa alipata rejesho, ila katika uhalisia aliwanyima raia wake haki ya kufanya maendeleo binafsi kwa kuchukua mishahara yao huenda ya miaka 10 mbele ambayo wangelipwa kama angetumia busara na hako kakampuni kakaendelea kuwepo.
Sawa atapeleka rejesho ila, wale watu 5 ambao mshahara wao ameuchukua? Watoto wao mbeleni itakuwa vipi watakapokuta baba zao walilipia treni ila hawana pa kulala?
Sasa ukute baba anahako kakampuni na mama ni mwajiriwa kwenye kahoteli kalikokuwa kanategemea vikao vya wafanyakazi wa serikali vilivyopigwa marafuku kufanyika kwenye mahoteli hako kahoteli kakafungwa huku mzee wao akiwa anacheti cha darasa la saba akaondolewa kazini akiwa na miaka 57.
Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
Tafsiri ya kuonewa ni ipi? Uwezo wa mtu kufanya jambo na fedha zake unautafsiri vipi ukiuhusuisha na jukumu la kulipa kodi kisheria? Taratibu za adhabu kwa waliokwepa kodi kisheria zipo vipi? Haya maswali yote, majibu yake yatajibu swali la hawa watu walionewa?Mkuu Mimi nimeshuhudia matajiri watatu wakipewa barua hizo za kodi,tajiri mmoja ambae mwaka 2018 alinunua nyumba Shanghai,China zaidi ya billioni 2 alipewa barua ya kulipa billioni 2,tajiri wa pili yeye ana kiwanda Cha plastic alinunua ghorofa Kariakoo kwa billioni 1 yeye akapewa barua ya kodi ya Milioni 600 na wa tatu yeye alikuwa na Bureau yeye alikuwa na uwezo wa kununua hata dola million 1 kwa siku,wakati wa ambush ya kukagua bureau alikutwa na dola Million 1 na sh million 800 yeye akapewa barua ya kulipa kodi million 500, Sasa nikuulize ndugu yangu kwa akili za kawaida watu awa walionewa!!??
Na sasa tunakopa wap?Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
Mikopo ya biashara au benki binafsi hata Putin akitaka Kukopa Marekani atapewa maana ina riba kubwa na mda mfupi wa marejesho..
Ila concessional loans hupewi na Wala ile mikopo yenye sura ya msaada kama wa covid hupewi
Kalinde kaburi fisi weweRiP ower John Pombe Magufuli
Kizuri chajiza kibaya chajitembeza !!! Debe tupu halikosi kelele Hata muandike kwa wino wa uharo mliohara magu was incompetent prsidaaa ovaaaChumvi za kiupinzani katika siasa. Linachukuliwa jambo moja la kawaida, linakuzwa kuonekana ni vita baina ya nchi mbili.
Hata uandike kwa uharo uliohara magu alikua hatoshiiiiiiiiMkuu,
Siyo kwamba hatuna uwezo wa kupambana na matatizo yetu.
Magufuli ametuonesha kwa vitendo inawezekana kabisa kujenga nchi kwa kodi zetu wenyewe, na mikopo michache sana.
Ukumbuke pia hilo deni la karibu Trillion 30 linahusisha na madeni yaliyoiva ya nyuma ambayo amepambana sana kuyalipa.
Ametufundisha inawezekana kabisa kuendesha nchi vizuri bila misaada ya mabeberu na tukapata maendeleo.
Sote tu mashahidi wa hili, na namba hazidanganyi. Si dhambi kufanya kwa kasi kubwa kama uwezo upo.
Mavi kama maviTulipopata uhuru Mwl. Julius Nyerere alitutangazia maadui watatu: maradhi, ujinga na umasikini. Awamu zote zimekuwa zikipambana nayo kwa nafasi yake bila mafanikio ya kuridhisha.
Aina ya uongozi wa Magufuli ulilenga walau kufanya mambo kwa utofauti na matokeo chanya tuliyaona ndani ya muda mfupi. JPM hakutaka kufanya kila kitu peke yake, ila alitaka walau tuwe tulipopaswa kuwa baada ya miaka 60 ya uhuru.
Ukweli ni kuwa tupo nyuma sana, miaka 60 ya uhuru:
• Hatuna vyanzo vya uhakika vya umeme
• Tuna mfumo na miundombinu duni ya elimu
• Hatuna miundombinu bora ya usafiri kuanzia nchi kavu, maji na hata anga
• Hatuna huduma na miundombinu bora ya afya
• Tumeshindwa hata kuhamia Dodoma
• You name them
Kama Rais Mzalendo, asingeweza kufanya mambo kwa mazoea. Tuna utajiri mwingi sana lakini sisi ni masikini sana, yote ni kwa kuwa tuna ombwe la uongozi.
Marekani na mataifa mengine wana malengo na masilahi yao. Kama wataona una-serve interests zao watakuwa na wewe, kama hauwasaidii chochote wataachana na wewe na kama utawaletea vizingiti kwenye ku-achieve interests zao watapambana na wewe. Ndiyo mfumo wa dunia ulivyo.
Rais na Mzalendo wa kweli ni yule atakayesimamia malengo ya nchi na wananchi wake.
Magufuli hakutaka tuwe wanyonge mbele ya mataifa ya kinyonyaji. Na ndio sababu he pulled us out of a handful of unfair deals and contracts. Kwamba wao wakichukua madini ya kila aina ya thamani kubwa eti watupoze kwa vyandarua na au ARVs. Yes, tunavihitaji hivyo vitu lakini not at the expense of unfair deals.
Alitaka tufaidike na kupata stahiki yetu halali. Hakufanikiwa sana, ila walau alituweka sehemu nzuri. Mambo ni mengi, ila kwa kuhitimisha, asingeweza kuepuka kukopa, lakini tumhukumu kwa kuangalia effectiveness ya hiyo mikopo.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Kalinde kaburi fisi wewe
Kutukana ndio sifa ya vijana wa Chama siku hizi,wao tumbo lishibe u apate cheo atembelee vieite,nimebahatika kusimama kwenye mabega ya watu walioshiriki gwaride la nguvu wakati wa sherehe za kuundwa CCM,wakati ule msisitizo ulikuwa kwenye neno MAPINDUZI. sasa hivi sina hakika kama hata wewe ndugu yangu @road master unajua kirefu cha CCM, kwa maana yake halisi, kwamba ni chama cha kusimamia MAPINDUZI ya kuwakomboa wanyonge,ni chama cha wakulima na wafanyakazi wa Tanzania walio wengi,CCM ya wakati ule ilikuwa na nahodha mahiri.CCM alikuwa akiinua kichwa chake anaona maili elfu kumi mbele.CCM alikuwa anajenga hoja na kuongoza jitihada za kuweka mikakati ya kujenga jamii iliyo sawa na inayoheshimu utu,CCM ilisimamia katika falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea.