Hayati Magufuli aliwezaje kukopa kwa Wazungu ikiwa aliharibu uhusiano na nchi za Ulaya?

Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.

Jamaa pamoja na kuandika kote na kutoa wasifu wake kielimu hakulijua hili?!

Kazi ipo...
 
Reactions: Qwy
Mkuu Mimi nimeshuhudia matajiri watatu wakipewa barua hizo za kodi,tajiri mmoja ambae mwaka 2018 alinunua nyumba Shanghai,China zaidi ya billioni 2 alipewa barua ya kulipa billioni 2,tajiri wa pili yeye ana kiwanda Cha plastic alinunua ghorofa Kariakoo kwa billioni 1 yeye akapewa barua ya kodi ya Milioni 600 na wa tatu yeye alikuwa na Bureau yeye alikuwa na uwezo wa kununua hata dola million 1 kwa siku,wakati wa ambush ya kukagua bureau alikutwa na dola Million 1 na sh million 800 yeye akapewa barua ya kulipa kodi million 500, Sasa nikuulize ndugu yangu kwa akili za kawaida watu awa walionewa!!??
 
Reactions: Tsh
Kama hajaelewa ana kichwa kigumu kama jiwe.
Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
 
Tafsiri ya kuonewa ni ipi? Uwezo wa mtu kufanya jambo na fedha zake unautafsiri vipi ukiuhusuisha na jukumu la kulipa kodi kisheria? Taratibu za adhabu kwa waliokwepa kodi kisheria zipo vipi? Haya maswali yote, majibu yake yatajibu swali la hawa watu walionewa?
 
Reactions: Qwy
Magufuli alikuwa anakopa zaidi pesa kutoka benki za kibiashara ambapo riba huwa kubwa na huko hawana tatizo na mkopaji, maana ni suala la kibiashara na sio kisiasa.
Na sasa tunakopa wap?
 
Chumvi za kiupinzani katika siasa. Linachukuliwa jambo moja la kawaida, linakuzwa kuonekana ni vita baina ya nchi mbili.
Kizuri chajiza kibaya chajitembeza !!! Debe tupu halikosi kelele Hata muandike kwa wino wa uharo mliohara magu was incompetent prsidaaa ovaaa
 
Reactions: Tsh
Hata uandike kwa uharo uliohara magu alikua hatoshiiiiiiii
 
Mavi kama mavi
 
Zamani
Kulikuwa na wanaTANU
Baada kukawa na WanaCCM ndani ya CCM
Kisha kukawa na wanaCCM na WANAFURSA ndani ya CCM
Awamu hii kuna wanaFURSA wengi kuliko wanaCCM ndani ya CCM
Tupoelekea wanaCCM wataisha watabaki wanaFURSA ndani ya CCM.
 
Zamani wazee walitoa kila walichonacho ili UHURU upatikane kisha hawakuwa wanaFURSA kwa kulazimisha kuwa Viongozi na wateule bali waliendelea kuwa wanaTANU
Lengo lao lilikuwa ni kupata UHURU

Kizazi cha sasa kukunwa ili wakunwe na kupapaswa wanajiunga na CCM kutafuta FURSA mbalimbali hivyo wapo tayari kufanya hata propaganda HATARISHI ili malengo yao yatimie
Wanakuwa ni wafuasi wa FURSA na sio WAFUASI wa CCM,yupo radhi amtukane marehemu apewe hela ale ashibe au apewe cheo
 
Kalinde kaburi fisi wewe

 
February 20,2013 Magazeti mengi yaliandika CCM,yalazimika kurejesha misingi ya TANU, ASP
 
Moja ya sentesi ilisema "kuvua gamba haikufanikiwa kama ilivyotarajiwa, matokeo yake tunaona kuporomoka kwa umaarufu wa CCM" hii ilikuwa 2013 baada ya CCM kuja na SERA ya KUJIVUA GAMBA, Je TULIFIKA FIKAJE KWENYE SERA YA KUJIVUA GAMBA? suluhisho la matatizo ya kujivua gamba ndio yalipelekea JOHN POMBE MAGUFULI asiye na doa kuchaguliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi wa 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…