Hayati Magufuli anaenziwa ama ni mbinu ya kuwarubuni watu kanda ya ziwa?

Hayati Magufuli anaenziwa ama ni mbinu ya kuwarubuni watu kanda ya ziwa?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Tumeambiwa Chato itatangazwa kuwa mkoa ili kumuenzi Magufuli Mara tu vigezo vitakapokamilika.

Lkn hebu tujiulize , rais Magufuli anaenziwa kwa maana halisi ya kuenziwa?
1. Banda la kaburi lake limerekebishwa na kujengwa vizuri baada ya watu kupiga kelele ktk mitandao. Huku ndiyo kumuenzi?

2. Mbunge wa hapo hapo Chato ametumbuliwa uwaziri wiki chache kabla ya tukio la leo. Kuna nn?

3. Sera, misimamo na mikakti yake ya kiuongozi mingi imetupwa ama kupindishwa. Anenziwa ktk lipi. Mfano, hakuamini ktk chanjo ya korona, hakutaka machinga wabugudhiwe, hakutaka mafisadi waachiwe, hakutaka wanyonge walipe tozo,n.k. Anaenziwa ktk lipi??

4. Viongozi wengi waliowekwa na Magufuli ndani na nje ya chama wanaondolewa ktk nyadhifa zao. Sasa Magufuli Anaenziwa ktk yapi?

5. Maguli alikuwa katili asiye na simile. Wakati wake watu waliteswa, walipigwa risasi hadharani, walitekwa, waliuawa na Uhuru wa habari ulibinywa vilivyo. Leo tunaona haya yote yakiwa yamepungua na mengine yameondoka kabisa. Anaenziwa ktk lipi?

6. Magufuli alikuwa mlinzi wa mali za umma lkn hivi sasa watu wanakula kadri ya urefu wa kamba zao. Anaenziwa ktk lipi?
 
Dada unapuyanga sana isee!

Ndio maana una thread unasema huna hamu ya mapenzi
 
Mkuu ni wastage of time kuendelea na mawazo ya mtu aliyekufa endapo hayana tija , yenye tija ndo ya kwenda nayo....mtu aliyekufa hawezi fanya guidance Kwa watu walio hai ..!! Issue ya Korona ni Jambo mtambuka , Maghufuli alikuwa na mawazo sahihi hata hvyo mawazo yake yangelicost taifa....!!! Sometime mwenye nguvu Mpishe hata Yesu aliwaambia waisraeli japo kaisari alikuwa anawatawala kimabavu hata hvyo walipaswa kumtii na sio kulianzisha ....!!! Sababu hyo nguvu hawana
 
Tumeambiwa Chato itatangazwa kuwa mkoa ili kumuenzi Magufuli Mara tu vigezo vitakapokamilika.

Lkn hebu tujiulize , rais Magufuli anaenziwa kwa maana halisi ya kuenziwa?
1. Banda la kaburi lake limerekebishwa na kujengwa vizuri baada ya watu kupiga kelele ktk mitandao. Huku ndiyo kumuenzi?

2. Mbunge wa hapo hapo Chato ametumbuliwa uwaziri wiki chache kabla ya tukio la leo. Kuna nn?

3. Sera, misimamo na mikakti yake ya kiuongozi mingi imetupwa ama kupindishwa. Anenziwa ktk lipi. Mfano, hakuamini ktk chanjo ya korona, hakutaka machinga wabugudhiwe, hakutaka mafisadi waachiwe, hakutaka wanyonge walipe tozo,n.k. Anaenziwa ktk lipi??

4. Viongozi wengi waliowekwa na Magufuli ndani na nje ya chama wanaondolewa ktk nyadhifa zao. Sasa Magufuli Anaenziwa ktk yapi?

5. Maguli alikuwa katili asiye na simile. Wakati wake watu waliteswa, walipigwa risasi hadharani, walitekwa, waliuawa na Uhuru wa habari ulibinywa vilivyo. Leo tunaona haya yote yakiwa yamepungua na mengine yameondoka kabisa. Anaenziwa ktk lipi?

6. Magufuli alikuwa mlinzi wa mali za umma lkn hivi sasa watu wanakula kadri ya urefu wa kamba zao. Anaenziwa ktk lipi?
Aenziwe kwa kitu gani special? Watu waliompangia mama kwamba Mwenge uzimwe Chato wanampoteza..

Hajaelewa tuu kwamba wanajaribu ku mfix kwamba yeye hawezi kitu ila Magu?

Mama stuka hao wapuuzi wanakuzingua
 
Haya mambo ya kuenzi marehemu ndio yanatutesa mpaka leo, sasa huo mwenge wa uhuru ni wa nini?
 
Tumeambiwa Chato itatangazwa kuwa mkoa ili kumuenzi Magufuli Mara tu vigezo vitakapokamilika.

Lkn hebu tujiulize , rais Magufuli anaenziwa kwa maana halisi ya kuenziwa?
1. Banda la kaburi lake limerekebishwa na kujengwa vizuri baada ya watu kupiga kelele ktk mitandao. Huku ndiyo kumuenzi?

2. Mbunge wa hapo hapo Chato ametumbuliwa uwaziri wiki chache kabla ya tukio la leo. Kuna nn?

3. Sera, misimamo na mikakti yake ya kiuongozi mingi imetupwa ama kupindishwa. Anenziwa ktk lipi. Mfano, hakuamini ktk chanjo ya korona, hakutaka machinga wabugudhiwe, hakutaka mafisadi waachiwe, hakutaka wanyonge walipe tozo,n.k. Anaenziwa ktk lipi??

4. Viongozi wengi waliowekwa na Magufuli ndani na nje ya chama wanaondolewa ktk nyadhifa zao. Sasa Magufuli Anaenziwa ktk yapi?

5. Maguli alikuwa katili asiye na simile. Wakati wake watu waliteswa, walipigwa risasi hadharani, walitekwa, waliuawa na Uhuru wa habari ulibinywa vilivyo. Leo tunaona haya yote yakiwa yamepungua na mengine yameondoka kabisa. Anaenziwa ktk lipi?

6. Magufuli alikuwa mlinzi wa mali za umma lkn hivi sasa watu wanakula kadri ya urefu wa kamba zao. Anaenziwa ktk lipi?
Biashara yake ilishakwisha. Ni enzi nyingine hii lazima mkubaliane
 
Watu wa kanda ya ziwa hatuhadaiki..uzanzibari mwisho 2025..chief hangaya viatu havimtoshi na yeye kathibisha hilo..tunaomba apumzike.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maguli alikuwa katili asiye na simile. Wakati wake watu waliteswa, walipigwa risasi hadharani, walitekwa, waliuawa na Uhuru wa habari ulibinywa vilivyo. Leo tunaona haya yote yakiwa yamepungua na mengine yameondoka kabisa. Anaenziwa ktk lipi?
Mkuu wewe ulikuwa uko kwenye kikosi cha BASHITE
 
Tumeambiwa Chato itatangazwa kuwa mkoa ili kumuenzi Magufuli Mara tu vigezo vitakapokamilika.

Lkn hebu tujiulize , rais Magufuli anaenziwa kwa maana halisi ya kuenziwa?
1. Banda la kaburi lake limerekebishwa na kujengwa vizuri baada ya watu kupiga kelele ktk mitandao. Huku ndiyo kumuenzi?

2. Mbunge wa hapo hapo Chato ametumbuliwa uwaziri wiki chache kabla ya tukio la leo. Kuna nn?

3. Sera, misimamo na mikakti yake ya kiuongozi mingi imetupwa ama kupindishwa. Anenziwa ktk lipi. Mfano, hakuamini ktk chanjo ya korona, hakutaka machinga wabugudhiwe, hakutaka mafisadi waachiwe, hakutaka wanyonge walipe tozo,n.k. Anaenziwa ktk lipi??

4. Viongozi wengi waliowekwa na Magufuli ndani na nje ya chama wanaondolewa ktk nyadhifa zao. Sasa Magufuli Anaenziwa ktk yapi?

5. Maguli alikuwa katili asiye na simile. Wakati wake watu waliteswa, walipigwa risasi hadharani, walitekwa, waliuawa na Uhuru wa habari ulibinywa vilivyo. Leo tunaona haya yote yakiwa yamepungua na mengine yameondoka kabisa. Anaenziwa ktk lipi?

6. Magufuli alikuwa mlinzi wa mali za umma lkn hivi sasa watu wanakula kadri ya urefu wa kamba zao. Anaenziwa ktk lipi?
Mbona mnapenda migawanyo hivyo?
Jamani, watu wakijitahidi kuwaunga mnatafuta ligi nyingine...Daah!

Pole sana Mama Samia Mh. Rais wangu...Fanya unachoweza achana na hawa binadamu wasioridhika ikiwaka jua wanataka mvua, ikinyesha mvua wanataka jua khaaa!
 
Back
Top Bottom