Hayati Magufuli anapaswa kupewa Heshima ya Baba wa Pili wa Taifa la Tanzania

LaBDA Apewe Ubaba wa Kambo!
 
Nadhani kuna baadhi ya watu hawajaelewa vizuri mada hii.
Mada hii haimaanishi kwamba marais wengine waliopita hawajafanya lolote, isipokuwa JPM amefanya mambo ya pekee zaidi ambayo watangulizi wake walishindwa.

Kumbukeni mzee Mwinyi alikiri wazi kwamba JPM alikuwa ni wa pekee zaidi hata kuliko yeye.
Baadhi ya mambo ya pekee yaliyoshindikana huko nyuma ni:-
1. Ujenzi wa Bwawa la umeme la Mwl Nyerere.
2. Ikulu kuhamia Dodoma.
3.Ujenzi wa SGR nk.
 
Hilo litatekelezwa tu ni suala la muda tu kulingana na mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi yatakayotokea ndani ya miaka kumi ijayo.
 
Tuwaulize warithi wa Ben Saanane,Azory Gwanda, Alphonse Mawazo na mamia ya wahanga walio "potea" kwenye utawala wake na mwenza Bashite Kama wanakubaliana na uharo wako
 
Mtoa hoja aigeuze hoja yake ili ipate mashiko kwa kumfanya Magufuli kuwa baba wa Taifa wa kanda ya Ziwa. Hili litakuwa powa sana kwani aliwafanyia makuu katika kipindi chake.
 

Kwenye ubora wake:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…