Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto hazaliwi na baba zaidi ya mmoja.
Elewa.
Wewe na wana-CCM wenzio muiteni hayati Magufuli baba yenu wa pili(wa kambo).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto hazaliwi na baba zaidi ya mmoja.
Elewa.
Wewe na wana-CCM wenzio muiteni hayati Magufuli baba yenu wa pili(wa kambo).
Mungu wangu duh...[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Labda apewe hadhi ya baba yako mzazi!
Nazan jibu lipo ni Karume na ndio mana kuna Karume day na Nyerere Day.SUBHANNALLAH!!!!
Kwanini sio Mwinyi, Benjamin au Jakaya?
Bora hata hiyo B60 kuna ile T1.5 ya CAG Prof. Assad.Kwa hasara ile ya bilioni 60 Kwenye ATCL huku tukiaminishwa tunapata faida Napendekeza, ajengewe na sanamu kabisa ili hata vizazi vya baadae vimfahamu
Magufuli alitumia siasa za kuwadanganya wanyonge kuwa yeye ni mtetezi wao kama Camoufledge. Kuwaacha wafanya kila kitu bila kufuata sheria na kuumiza wanaooitwa mashetani ili kuwafurahisha wanyonge, kumbe anawaongezea umasikini.Du! Huwezi kulinganisha kabisa mazuri yaliyofanywa kipindi cha Mkapa na kipindi cha Kikwete katika kujali ubora wa maisha ya kila mtu hata hao ambao wanaoitwa wanyonge na hayo mamiundombinu ya Jiwe! Huwezi kabisa linganisha! Yaani huwezi!
Na sanamu hilo litwishwe jiwe kuuuubwaKwa hasara ile ya bilioni 60 Kwenye ATCL huku tukiaminishwa tunapata faida Napendekeza, ajengewe na sanamu kabisa ili hata vizazi vya baadae vimfahamu