Hayati Magufuli asingekubali kutoza tozo za laini ya simu kwa wanyonge. Huku ni kuonea watanzania. Mbona alifanya makubwa bila tozo?

Hayati Magufuli asingekubali kutoza tozo za laini ya simu kwa wanyonge. Huku ni kuonea watanzania. Mbona alifanya makubwa bila tozo?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hayati Magufuli akiwa kama rais wa nchi alileta mabadiliko makubwa juu ya ukusanyaji mapato kwenye taifa letu. Pesa nyingi ilikuwa ikipotea mikononi mwa watu wachache. Akaamuru mapato yote yawe yanaingia mfuko mkuu wa serikali. Na hapo akawa amepatia akafanya makubwa. Akajenga hospital, vituo vya afya na hata mabarabara . Mfano ni Hospital ya rufaa mkoa wa Mara ambayo toka mwaka 1972 ilikuwa haijakamilika.

Sasa hizi habari za tozo za line ya simu zinatoka wapi? Mbona aliweza kujenga nchi pasipokuwa na tozo za ajabu ajabu.

Ina maana mapato yamepungua kiasi cha kila siku kuibua tozo za kila namna?

Hii nini sasa?
👇
 
Hayati Magufuli akiwa kama rais wa nchi alileta mabadiliko makubwa juu ya ukusanyaji mapato kwenye taifa letu. Pesa nyingi ilikuwa ikipotea mikononi mwa watu wachache. Akaamuru mapato yote yawe yanaingia mfuko mkuu wa serikali. Na hapo akawa amepatia akafanya makubwa. Akajenga hospital, vituo vya afya na hata mabarabara . Mfano ni Hospital ya rufaa mkoa wa Mara ambayo toka mwaka 1972 ilikuwa haijakamilika.

Sasa hizi habari za tozo za line ya simu zinatoka wapi? Mbona aliweza kujenga nchi pasipokuwa na tozo za ajabu ajabu.

Ina maana mapato yamepungua kiasi cha kila siku kuibua tozo za kila namna?

Hii nini sasa?
👇
View attachment 2370032
Yani kipindi kile Makonda na Sabaya ndio walikuwa wanakusanya KODI!

kama mpaka leo umekuwa mgumu kutafakari basi,MACCM wote vichwa ni mfuko wa kubebea meno.
 
awamu ya Tano alikuwa anawatuma Makonda na Sabaya kutafuta pesa.
Duuh basi hao vijana wanapaswa kupongezwa sana maana jitihada zao ndio zilifanya nchi ilipe madeni yake, serikali ijiendeshe,mishahara ya wafanyakazi ilipwe,madaraja yajengwe,zahanati,madarasa,barabara,flyovers ,sgr,stiglers ndege zinunuliwe. Aah.

Hao ni vijana wawili tu. Inashangaza sana shujaa wa Taifa kuendelea kusota mahabusu kwa kesi za kubumba.
 
Hayati Magufuli akiwa kama rais wa nchi alileta mabadiliko makubwa juu ya ukusanyaji mapato kwenye taifa letu. Pesa nyingi ilikuwa ikipotea mikononi mwa watu wachache. Akaamuru mapato yote yawe yanaingia mfuko mkuu wa serikali. Na hapo akawa amepatia akafanya makubwa. Akajenga hospital, vituo vya afya na hata mabarabara . Mfano ni Hospital ya rufaa mkoa wa Mara ambayo toka mwaka 1972 ilikuwa haijakamilika.

Sasa hizi habari za tozo za line ya simu zinatoka wapi? Mbona aliweza kujenga nchi pasipokuwa na tozo za ajabu ajabu.

Ina maana mapato yamepungua kiasi cha kila siku kuibua tozo za kila namna?

Hii nini sasa?
👇
View attachment 2370032
Kiukweli mapato yamepungua ndio maana hata TRA haitoi taarifa ya makusanyo kwa mwezi.
 
Duuh basi hao vijana wanapaswa kupongezwa sana maana jitihada zao ndio zilifanya nchi ilipe madeni yake, serikali ijiendeshe,mishahara ya wafanyakazi ilipwe,madaraja yajengwe,zahanati,madarasa,barabara,flyovers ,sgr,stiglers ndege zinunuliwe. Aah.

Hao ni vijana wawili tu. Inashangaza sana shujaa wa Taifa kuendelea kusota mahabusu kwa kesi za kub
fedha kwa damu za watu wachache?, alikuwa kikwete ,alikuwa analipa mpaka wafanyakazi hewa umeshindwa kushangaa
 
Back
Top Bottom