Kenya 2022 Hayati Magufuli awa " rejea" Uchaguzi mkuu, Wagombea Urais wamuiga kuteua mgombea mwenza Mwanamke

Kenya 2022 Hayati Magufuli awa " rejea" Uchaguzi mkuu, Wagombea Urais wamuiga kuteua mgombea mwenza Mwanamke

Kenya 2022 General Election
Haohao Wakenya ndio waliomuita Punguwani kuwa ndie Kinjekitile Ngwale wa zama hizi kwa kuwaua Watanzania wengi kwa kuwaambia Jifukizeni Corona itakuwa Maji.
 
Inaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili

Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.

Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv

Jo hautakiwi kuwa na mashaka kama unaogea nje,kama unajiamini ni kujiamini TU,hata kama nje iwe ni Kwako na SII kichakani au Kwa jirani.
 
Kwa nini Magufuli? Kwa nini hawakumuiga Biden? Ama Hilary Clinton - badala ya kuteua wanawake kuwa wenza, wakaacha wanawake wakawa wagombea wakuu?
Inaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili

Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.

Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv
 
Shujaa wa Afrika.

status_me_status_e60f01eece2c43ae95770ce5e9d2f6df.jpg
 
How thick can people be? So even Joe Biden copied makufuli? Akili za kimaandazi
 
Back
Top Bottom