Kenya 2022 Hayati Magufuli awa " rejea" Uchaguzi mkuu, Wagombea Urais wamuiga kuteua mgombea mwenza Mwanamke

Kenya 2022 Hayati Magufuli awa " rejea" Uchaguzi mkuu, Wagombea Urais wamuiga kuteua mgombea mwenza Mwanamke

Kenya 2022 General Election
Inaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili

Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.

Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv
Ni Imani yangu kuwa wake ya ni waumini wa siasa safi,zenye kuzingatia mahitaji ya katiba ya mpya kikamilifu na kamwe hawezi na hawatakubali siasa chafu na zisizozingatia democrasia,haki na uhuru wa habari,maoni na uhuru wa shughuli za kisiasa.🚶
 
Haohao Wakenya ndio waliomuita Punguwani kuwa ndie Kinjekitile Ngwale wa zama hizi kwa kuwaua Watanzania wengi kwa kuwaambia Jifukizeni Corona itakuwa Maji.

alivokufa sasa watanzania hawafi???
 
How thick can people be? So even Joe Biden copied makufuli? Akili za kimaandazi

kwan joe biden n mungu….Kama the system of government waliiba vitu vingi kutoka ancient Egypt cha ajabu nn hapo
 
Amuigae Punguwani naye ni Punguwani mtarajiwa.
 
Magufuli kiukweli aliharibu tu pale alipowapa nguvu TRA kuingia mpaka kwenye akaunt za watu. Lakini kwa mambo mengine bonge moja la kiongozi. Kwa upande wa ccm tutasubiri sana kupata kama yeye. Na kwa hapa Tz alizidiwa na Mbowe tu kwa maarifa,uongozi bora,hekima na busara. Lakini humo ndani ya ccm hayupo hata wa kumfikia nusu ya Magufuli

Ona tu ujenzi wa miundombinu aliyoijenga ndani ya muda mfupi.

Na ndio maana bado mzimu wake unawawewesesha sana ccm na bunge.

Ndio maana kwa sasa nchi nyingi inafuata falsafa za Magu kuhusiana na corona.
 
Back
Top Bottom