johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata Mbowe amewahi kuteua mgombea mwenza mwanamke wewe Bashite mkubwaInaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili
Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.
Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv
SureHaohao ndio waliomuita Punguwani kuwa ni Kinjekitile Ngwale wa zama hizi kwa kuwaua Watanzania kwa kuwaambia Jifukizeni Corona itakuwa Maji.
Magufuli atabaki kuwa kiongozi kinara.Inaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili
Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.
Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv
Huyu huyu Sauli?Hata Mbowe amewahi kuteua mgombea mwenza mwanamke wewe Bashite mkubwa
SawaHuyu huyu Sauli?
Inaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili
Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.
Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv
Wenzao wanaikimbia covid19,wao wanaikumbatia COVID19🚶Wamuige na style ya kuapisha Covid 19 kwenye garage ya Bunge.
Wabunge wa ChademaWamuige na style ya kuapisha Covid 19 kwenye garage ya Bunge.
Inaweza kufuatilia mwenyewe siasa za uchaguzi mkuu wa Kenya na.kuthibitisha hili
Magufuli ameacha legacy Afrika mashariki na Kati.
Nafuatilia hapa kupitia Citizen tv
Kumbe zile kura tulizompigia Lissu hatukumwafa sukari Ziwa Victoria mpaka mnalazimisha wabunge wa upinzani BungeniWabunge wa Chadema
Wabunge wanaapishwa na Rais kumbe?Wamuige na style ya kuapisha Covid 19 kwenye garage ya Bunge.
Majina yalitoka Ufipa st kwa.J JKumbe zile kura tulizompigia Lissu hatukumwafa sukari Ziwa Victoria mpaka mnalazimisha wabunge wa upinzani Bungeni
Ndungai alipokea amri kutoka juuWabunge wanaapishwa na Rais kumbe?
Majina yalitengenezwa na yule Mkurugenzi wa NEC mwenye meno mengi kuliko mdomo wake.Majina yalitoka Ufipa st kwa.J J
Would you please substantiate this.Ndungai alipokea amri kutoka juu