Hayati Magufuli hakuwa Dikteta

Hayati Magufuli hakuwa Dikteta

Kwahiyo Lissu alikuwa ni kigeugeu?
Yule ndo mwehu kabisa kwasababu alisema Magufuli ni mbaya badae akasema ni mzuri, huu ndio ukichaa naozungumzia
Hana msimamo na kauli zake ni kigeugeu aliyekubuhu
 
Huyu tuliokuwa naye haweiz kukemia hata nzi ndo maana kila kitu mambo hayaendi miradi kila siku visingizio kila kona akija kiongozi akaachana na mambo ya mchakato tunaona shida.. lakin tukuenda kwa nchi za wenzetu tunataman miji yao ilovyopangiliwa
Ukicheka na nyani unavuna mabua
 
View attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti

Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume

Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo

Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo

Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani

Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia

Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakatili
Alikuwa na maono ya Tanzania kwa miaka 50 - 100 ijayo kwa maslahi mapana
ya Taifa. Si kama wanasiasa wengine na wanajamii ambao maono yao huwa Mwaka moja mpaka mitatu ikizidi hapo ni miaka 5.

Ndiyo maana vikundi hivyo na watu hao WALIO wengi lakini upeo mdogo sababu ya maslahi binafsi na kisiasa waliungana kwa namna tofauti kupiga vita utawala wa JPM
 
Alikuwa na maono ya Tanzania kwa miaka 50 - 100 ijayo kwa maslahi mapana
ya Taifa. Si kama wanasiasa wengine na wanajamii ambao maono yao huwa Mwaka moja mpaka mitatu ikizidi hapo ni miaka 5.

Ndiyo maana vikundi hivyo na watu hao WALIO wengi lakini upeo mdogo sababu ya maslahi binafsi na kisiasa waliungana kwa namna tofauti kupiga vita utawala wa JPM
Sana mkuu 100%
 
View attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti

Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume

Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo

Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo

Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani

Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia

Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakati
"Na leo nataka niseme, Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Kwani watanzania ndiyo umewajua leo? Wabongo usipowaelewa unaweza kimbia bila nguo, halafu huyo huyo ulieenda kumuokoa anaanza kukucheka tupu yako, eti iko upande na imekondaa!
 
Kwamba hatujui kiongozi dictator Hadi ww ndio uje utupe tafsiri yako ya mahaba niue? Yule alikuwa ni dictator, fullstop.
Hata Mungu anaitwa dictator siku anapowapeleka watu motoni
 
vipi kuhusu kilichofanyika wakati wa uchaguzi wa 2020, kupiga marufuku vyama vya upinzani na kuuwa wapinzani?
 
Alikuwa na udikteta gani Sasa? Si basi tu kwasababu aliyafanya mengi ambayo kiuhalisia watu walizoea magumashi.
 
vipi kuhusu kilichofanyika wakati wa uchaguzi wa 2020, kupiga marufuku vyama vya upinzani na kuuwa wapinzani?
Walikuwa wanampigia kelele za usumbufu wakati wa kutekeleza sera za chama, ulikuwa ni muda wa kazi sio kampeni 😁
 
Back
Top Bottom