Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukicheka na nyani unavuna mabuaHuyu tuliokuwa naye haweiz kukemia hata nzi ndo maana kila kitu mambo hayaendi miradi kila siku visingizio kila kona akija kiongozi akaachana na mambo ya mchakato tunaona shida.. lakin tukuenda kwa nchi za wenzetu tunataman miji yao ilovyopangiliwa
Alikuwa na maono ya Tanzania kwa miaka 50 - 100 ijayo kwa maslahi mapanaView attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti
Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume
Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo
Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo
Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani
Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia
Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakatili
Sana mkuu 100%Alikuwa na maono ya Tanzania kwa miaka 50 - 100 ijayo kwa maslahi mapana
ya Taifa. Si kama wanasiasa wengine na wanajamii ambao maono yao huwa Mwaka moja mpaka mitatu ikizidi hapo ni miaka 5.
Ndiyo maana vikundi hivyo na watu hao WALIO wengi lakini upeo mdogo sababu ya maslahi binafsi na kisiasa waliungana kwa namna tofauti kupiga vita utawala wa JPM
"Na leo nataka niseme, Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"View attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti
Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume
Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo
Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo
Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani
Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia
Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakati
Vyeti feki na walioharibu wakatumbuliwaAliyekwambia. Magufuli alikuwa dikteta Nani?
Hata sehemu yoyote ukiwa unasimamia haki utaitwa diktetaHuchoki tu?
Mwacheni apumzike huyu mzee
Kwann unamuwekea maneno mdomoni marehemu, yeye mwenyewe aliwahi kutamka kuwa sio dikteta?
Kama wew utakavyokata Moto ukiendesha boda boda kwenye vijumbaVyovyote ilivyo utake usitake Mwendazake Amekufa na UDIKTETA WAKE
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.Yule ni raisi mkubwa sana kamwe hawezi kuacha kuzungumziwa
Kwamba hatujui kiongozi dictator Hadi ww ndio uje utupe tafsiri yako ya mahaba niue? Yule alikuwa ni dictator, fullstop.Hapana, utakapokumbana na watu vigeugeu na wasaliti na ukachukua hatua ndipo utaitwa dikteta