Hayati Magufuli ni Mtanganyika kweli kweli, hakuwahi kwenda Ulaya. Alisalimia kwa lugha 27 kila alipohutubia

Hayati Magufuli ni Mtanganyika kweli kweli, hakuwahi kwenda Ulaya. Alisalimia kwa lugha 27 kila alipohutubia

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Mwamba kweli kweli, Mtanganyika kweli kweli na Mtanzania halisi, hakuwahi kumuita mzungu au mwarabu wajomba zake. Safari zake zilikuwa kuzunguka Tanzania na uko alisalimu kila kabila alilokutana nalo njiani kwa lugha ya hiyo kabila, wanasema alijua lugha hizo wakati akizunguka Tanzania kujenga barabara akiwa Waziri wa Ujenzi.

Hebu tumsikilize. Je, umemis salamu hizo 2025?

#KatibaMpyaOkoaBandariZetu

 
Mmh hakuwahi kwenda Ulaya wakati Masters yake alisomea Uingereza....umezidisha chumvi sana aisee😆😆😆
 
Mwamba kweli kweli, Mtanganyika kweli kweli na Mtanzania halisi,hakuwahi kumuita mzungu au mwarabu wajomba zake,Safari zake zilikuwa kuzunguka Tanzania,na uko alisalimu kila kabila alilokutana nalo njiani kwa lugha ya hiyo kabila,wanasema alijua lugha hizo wakati akizunguka Tanzania kujenga barabara akiwa Waziri wa Ujenzi,ebu tumsikilize,je umemis salamu hizo 2025.

#KatibaMpyaOkoaBandariZetu
Lisu atapinga hii
USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Tunahitaji mengi zaidi kwa sasa, yeye alifanya yake ila mapungufu kwa nchi bado sana

Kama ni lugha na tuna akili zetu tungeruhusu nchi zote za Africa kuingia kwetu bila Visa au visa on arrival hiyo ingepandisha chat ya kuwa na nchi nyingi bila visa

Bado tuko nyuma sana duniani kwani waliokaa dual citizenship afrika ni nchi 7 tu na sisi tukiwemo na Magu alikataa pia ingawa ina faida kubwa kuliko hasara

BTW ifikapo mwaka 2050 tutakuwa na population mara mbili ya sasa
Nachomekea tu haya kwa faida ya wengine
 
Mwamba kweli kweli, Mtanganyika kweli kweli na Mtanzania halisi, hakuwahi kumuita mzungu au mwarabu wajomba zake. Safari zake zilikuwa kuzunguka Tanzania na uko alisalimu kila kabila alilokutana nalo njiani kwa lugha ya hiyo kabila, wanasema alijua lugha hizo wakati akizunguka Tanzania kujenga barabara akiwa Waziri wa Ujenzi.

Hebu tumsikilize. Je, umemis salamu hizo 2025?

#KatibaMpyaOkoaBandariZetu

Tanganyika dola ilishazikwa.....

Ni marehemu kwa sasa....haipo....

Ilizikwa ili tupate manufaa zaidi ya uwepo wake .....acha kujitia "hamnazo"[emoji1787][emoji1787]

Walikosa hoja wale G55 itakuwa ninyi ?!!! [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

#Mwenye Kutaka Kuvunja Muungano Avunjike yeye mgongo ,amen amen[emoji120]
 
Mwamba kweli kweli, Mtanganyika kweli kweli na Mtanzania halisi, hakuwahi kumuita mzungu au mwarabu wajomba zake. Safari zake zilikuwa kuzunguka Tanzania na uko alisalimu kila kabila alilokutana nalo njiani kwa lugha ya hiyo kabila, wanasema alijua lugha hizo wakati akizunguka Tanzania kujenga barabara akiwa Waziri wa Ujenzi.

Hebu tumsikilize. Je, umemis salamu hizo 2025?

#KatibaMpyaOkoaBandariZetu

Alikuwa mwizi na kibaka kama wengine wa ccm, kwenda ulaya au kubaki chato, hakukufanyi Uwe Bora,
 
Moja ya mambo niliyodhani angefanya tofauti ni kujifungia ndani.
 
Mwamba kweli kweli, Mtanganyika kweli kweli na Mtanzania halisi, hakuwahi kumuita mzungu au mwarabu wajomba zake. Safari zake zilikuwa kuzunguka Tanzania na uko alisalimu kila kabila alilokutana nalo njiani kwa lugha ya hiyo kabila, wanasema alijua lugha hizo wakati akizunguka Tanzania kujenga barabara akiwa Waziri wa Ujenzi.

Hebu tumsikilize. Je, umemis salamu hizo 2025?

#KatibaMpyaOkoaBandariZetu

Mwabudu mizimu ktk ubora wako
 
Back
Top Bottom