Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Lakini alikuwa mtu mkubwa na maarufu sidhani kama kuna mwafrika mwenzie angemfanyia mbaya walikuwa wanmkubali.Thubutuuuu sio kwa makabulu halafu wakati ule uminywaji wahaki za kibinaadu ulikuwa ni mkubwa mnooo wajua hapa tunaongelea mambo yaliyokuwa yanatokea miaka ya 60 to 80s .. Makaburu yalikuwa a roho mbaya kwelikweli wesingeweza kuwa wema kiasi hicho kwa watu weusi
Aaahh kuliwa tope hatukuwa tuna maanisha kuwa kaliwa na blacks wenzake bwana .by the way Mimi sina haika na hizo skendo but kwa mapito aliyoyapitia mandela chini ya utawala wa chuma wa makaburu hilo linawezekana sana 100% .... Imagine kama baadhi ya watawala madikteta wapo tayari kuua wapinzani wao ili tu waendelee kubai madarakani ndio watashidwakufanya jambo dogo kama hilo ?Lakini alikuwa mtu mkubwa na maarufu sidhani kama kuna mwafrika mwenzie angemfanyia mbaya walikuwa wanmkubali.
Ila kwa makaburu kufanya unyama hiyo inawezekana majamaa yameuwa weusi wengi
Ila cha ajabu eti alivyotoka jela akawasamehe na kuwapa nafasi nyeti serikalini..huyo sio kiongozi kabisa
Ndo tuaambiwa eti baba wa Africa
MaNdela alibanwa kikombe alichokuwa anakipitia kilikuwa ni kikubwa mnooo zaidi ya simtank .. Kukaa kifungoni takribani miongo mitatu usifanye masihara mkuu tena with torture alikuwa hana option nyingine zaidi ya kukubali masharti ya mabeberu .. I bet kwa yale mapitoaliyo yapitia hata tugekuwa mimi na wewe tingefanya kama vile alivyo fanya yeye ili kuinusuru nafsiLakini alikuwa mtu mkubwa na maarufu sidhani kama kuna mwafrika mwenzie angemfanyia mbaya walikuwa wanmkubali.
Ila kwa makaburu kufanya unyama hiyo inawezekana majamaa yameuwa weusi wengi
Ila cha ajabu eti alivyotoka jela akawasamehe na kuwapa nafasi nyeti serikalini..huyo sio kiongozi kabisa
Ndo tuaambiwa eti baba wa Africa
Aaahh kuliwa tope hatukuwa tuna maanisha kuwa kaliwa na blacks wenzake bwana .by the way Mimi sina haika na hizo skendo but kwa mapito aliyoyapitia mandela chini ya utawala wa chuma wa makaburu hilo linawezekana sana 100% .... Imagine kama baadhi ya watawala madikteta wapo tayari kuua wapinzani wao ili tu waendelee kubai madarakani ndio watashidwakufanya jambo dogo kama hilo ?
Kweli lakini kama ndo hivyo si angelegeza toka mwanzo tu ili apewe serikali angali kijana?MaNdela alibanwa kikombe alichokuwa anakipitia kilikuwa ni kikubwa mnooo zaidi ya simtank .. Kukaa kifungoni takribani miongo mitatu usifanye masihara mkuu tena with torture alikuwa hana option nyingine zaidi ya kukubali masharti ya mabeberu .. I bet kwa yale mapitoaliyo yapitia hata tugekuwa mimi na wewe tingefanya kama vile alivyo fanya yeye ili kuinusuru nafsi