Wale ni watu zaidi ya bilioni, yaani tushindwe wenyewe tu, n mwendo wa kuzalisha haya matunda hadi basi. Shukrani sana rais Uhuru kwa hili soko, Wakenya sisi watu wa kujituma, ukifungua mlango wa soko tuachie mengine, hapa patachimbika yaani
Ninafanya Huu mradi mwaka wa pili sasa, Miaka miwili ijayo nitakuwa natengeneza Dolari za Kutosha, Huwa najiona ni fala kwani nilichelewa kuanza.
Well said broWala usijione fala maana mchezo wa dakika tisini, inaruhusiwa hata kufunga bao kwenye dakika ya 89.
Na akili kubwa wataimport korosho from tz and export them to China. Watch...china huwezi kosa soko la chakula kule.
pelekeni kwa jinsi mnavyoweza.
Lady, you just gave me an idea🙂😀Na akili kubwa wataimport korosho from tz and export them to China. Watch...
Ninafanya Huu mradi mwaka wa pili sasa, Miaka miwili ijayo nitakuwa natengeneza Dolari za Kutosha, Huwa najiona ni fala kwani nilichelewa kuanza.
usijipe kichwa kijinga bana sisi ndio wenye mbwa.Na akili kubwa wataimport korosho from tz and export them to China. Watch...
Na akili kubwa wataimport korosho from tz and export them to China. Watch...
Wale ni watu zaidi ya bilioni, yaani tushindwe wenyewe tu, n mwendo wa kuzalisha haya matunda hadi basi. Shukrani sana rais Uhuru kwa hili soko, Wakenya sisi watu wa kujituma, ukifungua mlango wa soko tuachie mengine, hapa patachimbika yaani