MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Wacha wivu wa kike na emoji za maumivusasa ikwapi pipeline??😀😀😀 au imebaki kua render
hehehe usisahau na bomba la mafuta kutoka uganda amabalo lilitaka kuwatoa roho😀😀😀 maana mulilia kenya nzima nusu ya kufa
Pwahahaha ichogalWe are discussing about our oil here why is ichogal derailing this thread to economics,clear indication of povu kumwagwa sana
Kwa hili hongereni sana majirani…such moments are where we differentiate ' tuta-' from ' tuna-'
It's a list based on national poverty line. It's from unctad in their web site that which has both national poverty line and the international standard. Well if TZ feels that living above a dollar means you are not poor then the country has some fundamental issues.Eti Tanzania iko karibu na Lithuania na Israel. Mwenye kuchapisha hiyo list alikuwa analala na nguruwe iliyojaa mapepo.
Sorry it's UNDP | Human Development ReportsIt's a list based on national poverty line. It's from unctad in their web site that which has both national poverty line and the international standard. Well if TZ feels that living above a dollar means you are not poor then the country has some fundamental issues.
Sasa buku nne mbona ni hela mingi sana bongo, per day.Ingia kwenye taarifa za World Bank nilizokupa, usome hii statement mara kumi na kama hutaelewa zadi ya hapo kwaheri..
"Although there has been recent growth that has helped Tanzania’s poorest, the report emphasizes that approximately 70% of Tanzanians continue to live with less than $2 per day."
Kwa hivyo Watanzania 70% wanaishi chini ya buku nne kwa siku, hela za kikombe cha kahawa. Haya kwaheri maana naona umeganda na hutoelewa hata dunia ifike mwisho.
nimeuliza tu wapi pipeline 😀😀😀Wacha wivu wa kike na emoji za maumivu
Sio buku nne most watanzania wanaishi chini ya ksh 50 per daySasa umekurupuka na kuanza kuokotezza kla aina ya mapicha, jadili mada kitaalam, kuna aina kadhaa za poverty levels, ikiwemo extreme poverty.
Nmekupa ripoti ya World bank inayosema nyie 70% mnaishi chini ya buku nne, unahangaika kwenda kuokta mapicha unaniquote mara tano......
Tuliza moto usome nini kinazungumzwa kuhusu kwanza.
Your grammar is worse than Cancer.The county would get 20 per cent while the local community will be guaranteed five per cent of the proceeds if "the pilot succeeds".
It is the pilot program its not even yet confirmed it will going to yield anything touchable, now it's just the chicken feed
Hahaha this reply has already made my week.Eti Tanzania iko karibu na Lithuania na Israel. Mwenye kuchapisha hiyo list alikuwa analala na nguruwe iliyojaa mapepo.