Hayawi hayawi huwa, safari ya kuuza mafuta inaanza leo Kenya

Hayawi hayawi huwa, safari ya kuuza mafuta inaanza leo Kenya

IMG_20180424_124137.jpg
hehehe usisahau na bomba la mafuta kutoka uganda amabalo lilitaka kuwatoa roho😀😀😀 maana mulilia kenya nzima nusu ya kufa
 
South Sudan is part of EAC, hivyo Kenya sio ya kwanza
 
mitanzania yamemwaga povu sana aisee😀😀😀...jirani akifanikiwa mpe hongera zake tu...does it hurt?
 
Eti Tanzania iko karibu na Lithuania na Israel. Mwenye kuchapisha hiyo list alikuwa analala na nguruwe iliyojaa mapepo.
It's a list based on national poverty line. It's from unctad in their web site that which has both national poverty line and the international standard. Well if TZ feels that living above a dollar means you are not poor then the country has some fundamental issues.
 
Ingia kwenye taarifa za World Bank nilizokupa, usome hii statement mara kumi na kama hutaelewa zadi ya hapo kwaheri..

"Although there has been recent growth that has helped Tanzania’s poorest, the report emphasizes that approximately 70% of Tanzanians continue to live with less than $2 per day."

Kwa hivyo Watanzania 70% wanaishi chini ya buku nne kwa siku, hela za kikombe cha kahawa. Haya kwaheri maana naona umeganda na hutoelewa hata dunia ifike mwisho.
Sasa buku nne mbona ni hela mingi sana bongo, per day.
 
Uko Mtwara watu wameuliwa wengi sana lakini mpaka sasa hakuna gesi wala mafuta yalionufaisha taifa.
 
Sasa umekurupuka na kuanza kuokotezza kla aina ya mapicha, jadili mada kitaalam, kuna aina kadhaa za poverty levels, ikiwemo extreme poverty.
Nmekupa ripoti ya World bank inayosema nyie 70% mnaishi chini ya buku nne, unahangaika kwenda kuokta mapicha unaniquote mara tano......
Tuliza moto usome nini kinazungumzwa kuhusu kwanza.
Sio buku nne most watanzania wanaishi chini ya ksh 50 per day
 
The county would get 20 per cent while the local community will be guaranteed five per cent of the proceeds if "the pilot succeeds".

It is the pilot program its not even yet confirmed it will going to yield anything touchable, now it's just the chicken feed
Your grammar is worse than Cancer.
 
Back
Top Bottom