Duh!! Am speechless wallaah!.... Mungu awabariki sana kwa wishes zenu jaman kiukweli nimefarijika sana sana sana... Shukran za pekee ziende kwa Uongozi wangu wa JF Tanga Wing i.e Mwenyekiti wangu Dark City, Katibu wangu Mwanyasi na Mwekahazina wangu KOKUTONA.
Duh!! Am speechless wallaah!.... Mungu awabariki sana kwa wishes zenu jaman kiukweli nimefarijika sana sana sana... Shukran za pekee ziende kwa Uongozi wangu wa JF Tanga Wing i.e Mwenyekiti wangu Dark City, Katibu wangu Mwanyasi na Mwekahazina wangu KOKUTONA.
pj ni chairman wa ar wing mwanyasi kamuambia amtunze mwali kama mwenyekiti alivyokuwa anatunzwa na ta wing.. Ila pj si muhusika mi elewa hivyo kama nimekosea mnitoe tongotongo