Inawezekana Gara B alikuwa booked tayari...
Sawa Mkuu...nimekuelewa.Walitaka kubadili ladha. Gara b wamemkodi kwenye engagement ya nandy. Pia wamemkodi kwenye send of ya nandy. Harusi wakaona wabadili ladha. Sie mtu mmoja afanye kila kitu
Hukuwa na watoto karibu kwenye TV(ingawa ilikuwa usiku sana)[emoji3][emoji3]Ila ile nguo Nandy alivaa ukumbini.... aibu niliona mimi....
Mbele ya wazazi wake... Wazazi wa Nenga... kwa kweli hapana.
Mwandishi alikuwaga jay Melody nasikia waligombana ndio ulikuwa mwanzo wa Nandy kutoa nyimbo za ajabuUngejua billnass ndie muandishi wa nyimbo za nandy.
Toka ruge amefariki Nandy amepanda juu kimziki kwa kasi sana maana billnass alirudi kuanza kumuandikia tena.
Watu wa rap wanajua sana kuandika nyimbo za kuimba. Nandy anajua msaada wa billnass kwake na bila yeye atapotea kama ruby sokoni. Maana ruby hana wa kumuandikia nyimbo nzuri.
Diamond anatawala sana mziki sababu alianza kwenye kurap. Aliamia kwenye kuimba sababu ndipo kuna hela na wateja wengi wa biashara ya mziki.
Sawa na Ray vanny alianza kwenye kurap na anajua sana kurap. Kuandika nyimbo za kuimba ni rahisi sana
Zuchu anaandikiwa nyimbo ndio maana anatoa nyimbo nzuri daily.
Teh usinikumbushe wifi angu mchaga. Mjini alikuwa anapeta tu na wakwe zake, hawana nongwa. Siku aliyokwenda Tukuyu; na venye hajazoea kupiga magoti. Hana hamu kilichomkuta[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa kile kinguo cha Nandy jana...nadhani Body Language ilikuwa inafanya kazi sana Unyakini[emoji28]
Zile za kufinyana, mara umesukumizwa na kibega... Hasa Mama zetu jamani[emoji119]
Mbona nasikia mara nyingi Zuchu akisifiwa kuwa ni mwandishi mzuri sana; hata Salama juzi kati ametoka kusema like hajaona msanii anayeandika kama ZuchuUngejua billnass ndie muandishi wa nyimbo za nandy.
Toka ruge amefariki Nandy amepanda juu kimziki kwa kasi sana maana billnass alirudi kuanza kumuandikia tena.
Watu wa rap wanajua sana kuandika nyimbo za kuimba. Nandy anajua msaada wa billnass kwake na bila yeye atapotea kama ruby sokoni. Maana ruby hana wa kumuandikia nyimbo nzuri.
Diamond anatawala sana mziki sababu alianza kwenye kurap. Aliamia kwenye kuimba sababu ndipo kuna hela na wateja wengi wa biashara ya mziki.
Sawa na Ray vanny alianza kwenye kurap na anajua sana kurap. Kuandika nyimbo za kuimba ni rahisi sana
Zuchu anaandikiwa nyimbo ndio maana anatoa nyimbo nzuri daily.
Kwa nini aliamua kuvaa ile nguo ukumbini? Au alitaka kutuonesha Junior alivyokua.Ninavyowajua wanyaki, na gubu letu; Ile second dress ya Nandy, watakuwa wameongea jamani. Kama nawaona vile "aseeeeeeeeeeeee".
Ila Nandy na Nenga wanapendana jamani; Mungu akawatetee kwenye ndoa yao, wakawe na ndoa ya mfano kwa wasanii na hata wengine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hukuwa na watoto karibu kwenye TV(ingawa ilikuwa usiku sana)[emoji3][emoji3]
Mwandishi alikuwaga jay Melody nasikia waligombana ndio ulikuwa mwanzo wa Nandy kutoa nyimbo za ajabu
Mbona nasikia mara nyingi Zuchiu akisifiwa kuwa ni mwandishi mzuri sana; hata Salama juzi kati ametoka kusema like hajaona msanii anayeandika kama Zuchu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Teh usinikumbushe wifi angu mchaga. Mjini alikuwa anapeta tu na wakwe zake, hawana nongwa. Siku aliyokwenda Tukuyu; na venye hajazoea kupiga magoti. Hana hamu kilichomkuta
Mimi nimeshazoea aisee, hadi wengine wananishangaaga. Ila kwa wasukuma nimenyanyua mikono juu. Tumewahi ishi kule, kuna siku tukaenda kumsalimia mama wa jirani yetu; niliyeenda naye msukuma, naona dakika zinakata tu mwenzangu bado ana goti lake; nikanyanyuka tu kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Binafsi hata mimi suala la goti ni kipengele HS...
Nimekaa Usukumani huko wale wanapiga goti hadi umalize kunywa maji... kama ni salamu hadi umalize kusalimia....
Mimi vilinishinda Asubuhi sana[emoji1787][emoji1787]
Bora hivyo walikuachia uwanja uone aibu pekee yako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa Pacha wangu wana vitu vyao....
Walimuona Dada yao anaangalia hata hawakuangaika[emoji28]
Kwa kweli sikumuelewa; na hata yeye ni kama hakuwa comfortable haswa na mpasuo wake, kila saa anajifunikaKwa nini aliamua kuvaa ile nguo ukumbini? Au alitaka kutuonesha Junior alivyokua.
Hata Goodluck Gozbert ni Mwandishi mzuri pia...Mbona nasikia mara nyingi Zuchiu akisifiwa kuwa ni mwandishi mzuri sana; hata Salama juzi kati ametoka kusema like hajaona msanii anayeandika kama Zuchu
Nawaza Ruby angekuwa Wcb sijui angekuwa wapi sasa hivi.Jay melody alikuwa anaandika wakati nandy yupo na ruge baada ya kugombana na billnass. Baada ya ruge kufariki tu nandy karudi kwa billnass na akaachana na studio ya THT kabisa kaenda kwa kimambo kabisa
Siri za industry wanaozijua wanaofanya nao kazi.
Zuchu akiondoka WCB hata Ruby ana afadhali.
Wasanii wengi wa kike hawasemi ukweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nimeshazoea aisee, hadi wengine wananishangaaga. Ila kwa wasukuma nimenyanyua mikono juu. Tumewahi ishi kule, kuna siku tukaenda kumsalimia mama wa jirani yetu; niliyeenda naye msukuma, naona dakika zinakata tu mwenzangu bado ana goti lake; nikanyanyuka tu kwa kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora hivyo walikuachia uwanja uone aibu pekee yako[emoji3][emoji3][emoji3]
Yeah Goodluck ni mwandishi mzuri sana. Nakumbuka Ile moyo mashine ya Ben pol alimuandikia yeye na hata Ile "Basi nenda" ya mo music. Alikuwa anajiita producer LollipopHata Goodluck Gozbert ni Mwandishi mzuri pia...
Aliwahi kuhojiwa na Salama NA... wakati kipindi kipo EATV.... Salama akamwambia anajua kuwa anawaandikia watu nyimbo za kidini na za kidunia... Anaweza kuwataja watu watatu tu... Goodluck akakataa... Salama si unamjua tena[emoji1787]akamwambia anawajua vyema hata asipowataja[emoji3]
Sijatembea kwingi lakini kwa kule iringa njombe natumaini wao ndio wanaongoza kwa kupiga goti.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Binafsi hata mimi suala la goti ni kipengele HS...
Nimekaa Usukumani huko wale wanapiga goti hadi umalize kunywa maji... kama ni salamu hadi umalize kusalimia....
Mimi vilinishinda Asubuhi sana[emoji1787][emoji1787]
Hilo ndio huwa linanishangaza sana wadada/wanawake, mtu anavaa nguo fupi akikaa inarudi nyuma mapaja yanakuwa wazi anaanza kuhangaika kufunika tena, utakuta hana hata nguo(mf kanga) halafu ana kakimkoba akikaweka miguu hakifuniki chochote.Kwa kweli sikumuelewa; na hata yeye ni kama hakuwa comfortable haswa na mpasuo wake, kila saa anajifunika