Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Zuchu nyimbo anaandikiwa na mama ake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa taarabu anazotoa khaaah, wee lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rich Auntie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Teh usinikumbushe wifi angu mchaga. Mjini alikuwa anapeta tu na wakwe zake, hawana nongwa. Siku aliyokwenda Tukuyu; na venye hajazoea kupiga magoti. Hana hamu kilichomkuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Those guys are soulmates, sio rahisi kuachana sababu wana urafiki mkubwa. Kila mmoja ni company kwa mwenzie😂
 
[emoji1787]
 
Watumishi wa Mungu zama hizi wana kazi sana. Ndoa inafungwa mimba kubwaaa inabidi tu wafumbe macho hivyo hivyo vinginevyo wakijifanya kuwa wakali watakosa waumini
Kiasi fulani inachefua na kuwaweka watumishi majaribuni. Wangeweka tu utaratibu, Kama tayari mwanamke ana ujauzito, asubiri tu, ajifungue, Kisha waje kuhalalisha ndoa yao kanisani.
 
Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
Hizo "ndani" za msisitizo Kama Gardner vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…