Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Dr khaaaahUsikute Junior alianza kumpiga mateke
Zuchu nyimbo anaandikiwa na mama ake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungejua billnass ndie muandishi wa nyimbo za nandy.
Toka ruge amefariki Nandy amepanda juu kimziki kwa kasi sana maana billnass alirudi kuanza kumuandikia tena.
Watu wa rap wanajua sana kuandika nyimbo za kuimba. Nandy anajua msaada wa billnass kwake na bila yeye atapotea kama ruby sokoni. Maana ruby hana wa kumuandikia nyimbo nzuri.
Diamond anatawala sana mziki sababu alianza kwenye kurap. Aliamia kwenye kuimba sababu ndipo kuna hela na wateja wengi wa biashara ya mziki.
Sawa na Ray vanny alianza kwenye kurap na anajua sana kurap. Kuandika nyimbo za kuimba ni rahisi sana
Zuchu anaandikiwa nyimbo ndio maana anatoa nyimbo nzuri daily.
Yaan MC kaharibu shughuri, hapo imenougaNC wangemuweka gara b,,,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wabongo wakikutosa wamekutosa mazima. Maskini Lulu tangu amzamishe kanumba kila anachokifanya wabongo wanakipotezea,alianza ndoa wabongo wakaita kipaimara wakauchuna,kajifungua watu hawana mhaho wa kumuona mwanae,kafungua biashara kwa mbwembwe wabongo kimya, birthday ya mwanae kajitahidi kuibust wabongo waleee kwa bill na nandy.
Rich Auntie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niaje wadau wa burudani!!!!
Kiukweli waliofatilia jana tukio la mlimani city kwenye sherehe ya nandy bila kupapasa macho SHANGAZI aliuwa sana kwa licha ya kusema ametoa pesa kiasi gani ila adi MC alikubali baada ya kuona mzigo SHANGAZI ALIOTOA kwa nandy & Nenga pamoja na familia ya nandy na Nenga pamoja na Mc bila kusahau Musa(mtangazaji wa clouds fm)
Hakika kwa tukio la jana alitakiwa kuwekwa kwenye front page za magazeti
Vipi kwa mtazamo wako mdau
Jana alikua ana ndoa nyingne.Inawezekana Gara B alikuwa booked tayari...
Shangazi wa upareni alisimama akashuahuliwa kuwa sio yeye, ni yule wa Ulayaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rich Aunty vibes. Shangazi ana mbwembwe jamani uuh
Wengine wale ni mashangazi a.k.a dada zake baba[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh usinikumbushe wifi angu mchaga. Mjini alikuwa anapeta tu na wakwe zake, hawana nongwa. Siku aliyokwenda Tukuyu; na venye hajazoea kupiga magoti. Hana hamu kilichomkuta
Gara B yuko overbooked, walimuotea kwenye send off ila harusi akawa kashalipiwa 😀😀😀Inawezekana Gara B alikuwa booked tayari...
Those guys are soulmates, sio rahisi kuachana sababu wana urafiki mkubwa. Kila mmoja ni company kwa mwenzie😂Ninavyowajua wanyaki, na gubu letu; Ile second dress ya Nandy, watakuwa wameongea jamani. Kama nawaona vile "aseeeeeeeeeeeee".
Ila Nandy na Nenga wanapendana jamani; Mungu akawatetee kwenye ndoa yao, wakawe na ndoa ya mfano kwa wasanii na hata wengine
[emoji1787]Mimi nimeshazoea aisee, hadi wengine wananishangaaga. Ila kwa wasukuma nimenyanyua mikono juu. Tumewahi ishi kule, kuna siku tukaenda kumsalimia mama wa jirani yetu; niliyeenda naye msukuma, naona dakika zinakata tu mwenzangu bado ana goti lake; nikanyanyuka tu kwa kweli
🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Dr khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]
Duuh kumbe lollipop ndio Gudluck !! Lolli mwaah kibwagizo hicho kilikuwa maarufu sanaYeah Goodluck ni mwandishi mzuri sana. Nakumbuka Ile moyo mashine ya Ben pol alimuandikia yeye na hata Ile "Basi nenda" ya mo music. Alikuwa anajiita producer Lollipop
Kiasi fulani inachefua na kuwaweka watumishi majaribuni. Wangeweka tu utaratibu, Kama tayari mwanamke ana ujauzito, asubiri tu, ajifungue, Kisha waje kuhalalisha ndoa yao kanisani.Watumishi wa Mungu zama hizi wana kazi sana. Ndoa inafungwa mimba kubwaaa inabidi tu wafumbe macho hivyo hivyo vinginevyo wakijifanya kuwa wakali watakosa waumini
Hizo "ndani" za msisitizo Kama Gardner vile.Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
Nawatakia Kila la kheri aiseeThose guys are soulmates, sio rahisi kuachana sababu wana urafiki mkubwa. Kila mmoja ni company kwa mwenzie😂