Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Yes Lolli mwaahDuuh kumbe lollipop ndio Gudluck !! Lolli mwaah kibwagizo hicho kilikuwa maarufu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Lolli mwaahDuuh kumbe lollipop ndio Gudluck !! Lolli mwaah kibwagizo hicho kilikuwa maarufu sana
Me too aiseeNawatakia Kila la kheri aisee
Aunt Vs shangaziShangazi wa upareni alisimama akashuahuliwa kuwa sio yeye, ni yule wa Ulayaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah ile siku alikuwa na shughuli nyingine,ndio maana ukumbini aliingia saa 6,Huyo jamaa nasikia ratiba yake hua finyu Sana anapiga hela mbaya yaani mwezi mzima bize tu.
Ni kweliInawezekana Gara B alikuwa booked tayari...
Cara alikuwa kwenye harusi nyingine,nayo ilikuwa[emoji91]Yaan MC kaharibu shughuri, hapo imenouga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aunt Vs shangazi
Yeaaaah. Ilikua [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Cara alikuwa kwenye harusi nyingine,nayo ilikuwa[emoji91]
Tatizo hana nyama nyama za kibantuIla Nandy ni karembo
Beyonce na Jay Z wana miaka mingapi kwenye ndoaHuwa siamini ndoa za watu maarufu wanapooana. Kila mtu ana umaarufu wake ambao anadhani hatakiwi kuupoteza.
Kila la heri
Wameoana tayari.Navy kenzo miaka 10 na usheee hawajaoana tutaona mengi kila kitu ni kheri
Na wewe uoe.Siku hizi nafurahia sana nikiona watu wanaingia ndoani kwa heshima namna hii,, story yao ni ndefu ikawe heri kwao, nawapenda sana[emoji7] hakuna kinachokuja kwa wepesi lazima yawepo makwazo nk ila mmepambana aisee,, mmenifundisha kitu kikubwa sana,
Kuja nikuoe weweNa wewe uoe.
Still Jay is making more money than many other artists in the game.Kimziki ndio basis tena, usanii na mambo ya kuoa au kuolewa ni kama chui n swala.Jay Z na Beyonce wenyewe walifulia kimziki baada ya kuoana.
Kanisani si mahala pa watu wakamilifu, ukijiona mkamilifu baki na ukamilifu wako. Waache wenye kiu ya neema waende mbele za Bwana.Watumishi wa Mungu zama hizi wana kazi sana. Ndoa inafungwa mimba kubwaaa inabidi tu wafumbe macho hivyo hivyo vinginevyo wakijifanya kuwa wakali watakosa waumini
Maana yake ni nini ?Leo chupa limeamka na chai[emoji1787]
Uzuri sura huko kwingine sio deal sana ingawa ni deal kimjini mjiniTatizo hana nyama nyama za kibantu