Hayo magari yalikuwa ya nani na kwanini baada ya ufichuzi ule aliyekuwa Katibu wa chama kile aliandika barua ya kujiuzulu?!

Hayo magari yalikuwa ya nani na kwanini baada ya ufichuzi ule aliyekuwa Katibu wa chama kile aliandika barua ya kujiuzulu?!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200


Hayo magari yalikuwa ya nani?!

Kwa nini TRA ilitishwa kwamba ni ya ofisi ya Rais ilhali anuani haikuwa siyo?!

Kwa nini Kamishna wa TRA wakati ule aligwaya kuchukua hatua?!

Kwa nini Ikulu ya 2015 haikuchua hatua za kuyakana magari yale kwa kuingizwa nchini kwa ulaghai ni ya Ofisi ya Rais?!

KWA NINI KATIBU WA CHAMA 'FULANI' BAADA YA KUFICHULIWA MAGARI YALE ALIBADILIKA NA KUAMUA KU-RESIGN GHAFLA KATIKA HALI ISIYOTARAJIWA?!

Kwa nini yalifichwa?!
 
Haya magari ni ya nani? Kwanini mmiliki wake ANAFICHWA FICHWA?
 
Taifa la wasanii...

Wangapi wanakumbuka hii?
Oct 13, 2017



Vilinunuliwa kutoka kwa nani?

au hii?
Jun 1, 2021



Je hao wezi wa mafuta walipatikana?​


CCM kwa lugha ya wenzetu ni kama cult, period. Wanachama wake wako tayari kujitoa mhanga kumtetea kiongozi wao mkuu. Waliokuwa wafuasi wa Adolf Hitler walikuwa tayari hata kutoa roho zao kumtetea kiongozi wao. Hiyo ndio tabia ya cult.

Magufuli angeweza kuagiza wapinzani wake wote wapigwe risasi na hilo agizo likapokelewa kwa vigelegele na wana CCM. Si ajabu hiyo siku ikawekwa kwenye kumbukumbu kama siku maadui na wasaliti walipofyekelewa mbali na kiongozi madhubuti.
 
View attachment 2064136

Hayo magari yalikuwa ya nani?!

Kwa nini TRA ilitishwa kwamba ni ya ofisi ya Rais ilhali anuani haikuwa siyo?!

Kwa nini Kamishna wa TRA wakati ule aligwaya kuchukua hatua?!

Kwa nini Ikulu ya 2015 haikuchua hatua za kuyakana magari yale kwa kuingizwa nchini kwa ulaghai ni ya Ofisi ya Rais?!

KWA NINI KATIBU WA CHAMA 'FULANI' BAADA YA KUFICHULIWA MAGARI YALE ALIBADILIKA NA KUAMUA KU-RESIGN GHAFLA KATIKA HALI ISIYOTARAJIWA?!

Kwa nini yalifichwa?!
😥
 
View attachment 2064136

Hayo magari yalikuwa ya nani?!

Kwa nini TRA ilitishwa kwamba ni ya ofisi ya Rais ilhali anuani haikuwa siyo?!

Kwa nini Kamishna wa TRA wakati ule aligwaya kuchukua hatua?!

Kwa nini Ikulu ya 2015 haikuchua hatua za kuyakana magari yale kwa kuingizwa nchini kwa ulaghai ni ya Ofisi ya Rais?!

KWA NINI KATIBU WA CHAMA 'FULANI' BAADA YA KUFICHULIWA MAGARI YALE ALIBADILIKA NA KUAMUA KU-RESIGN GHAFLA KATIKA HALI ISIYOTARAJIWA?!

Kwa nini yalifichwa?!
Duh huyu baba yako alikuwa anafanya kazi kwenye mazingira magumu sana.Pole kwa kumpoteza.
 
Back
Top Bottom