Hicho ni kisiwa maarufu kwa uvuvi..kipo ziwa Victoria upande wa kenya.palikuwepo mgogoro kati ya kenya na uganda kuhusu hicho kisiwa.
Tumuamini nani kati yenu?Mkuu hiyo NIGERIA napo palikuwa kama bone la Jangwani... kadri miaka ilivyoenda pakajaa maji na kutunga marsh (ongezeko la bahari na majitaka na mito) !!
Mungu apishe mbali kwetu huku kwenye mabonde panaweza kuiga mfumo wa kujaa maji na wakazi washindwe kuhama.....
GIUSEPPE Tuchukuwe tahadhari Ona Nigeria hiyo!!
nadhani ni benin kama ni huko nilielezwa kuwa hiyo ilikuwa ni njia ya kukwepa vibaka wanaokwapua kupitia dirishaniDuuu ni wapi huku ?
panaitwa MAKOKOMkuu hiyo NIGERIA napo palikuwa kama bone la Jangwani... kadri miaka ilivyoenda pakajaa maji na kutunga marsh (ongezeko la bahari na majitaka na mito) !!
Mungu apishe mbali kwetu huku kwenye mabonde panaweza kuiga mfumo wa kujaa maji na wakazi washindwe kuhama.....
GIUSEPPE Tuchukuwe tahadhari Ona Nigeria hiyo!!
Mkuu kwa LOGIC tuu kisiwa hakiko hivyo!!! Kiswa hwa kuna mpando wa ardhi juu!!Tumuamini nani kati yenu?
Nimekuelewa sana mkuu na pia ndugu bantu amekiri kuwa alikosea nadhani alipachanganya na sehemu nyingineMkuu kwa LOGIC tuu kisiwa hakiko hivyo!!! Kiswa hwa kuna mpando wa ardhi juu!!
Nina hakika ndg,Bantu kakosea...
Wewe ingia google utaona...
Mkuu ona MAKOKOTumuamini nani kati yenu?
Nakumbuka nilipaona hapo, kuna documentary moja inatwa... WELCOME TO LAGOS,its very interesting,I believe sisi Tz hatuna sehemu kama hizo mbali na umaskini wetuMkuu hiyo NIGERIA napo palikuwa kama bone la Jangwani... kadri miaka ilivyoenda pakajaa maji na kutunga marsh (ongezeko la bahari na majitaka na mito) !!
Mungu apishe mbali kwetu huku kwenye mabonde panaweza kuiga mfumo wa kujaa maji na wakazi washindwe kuhama.....
GIUSEPPE Tuchukuwe tahadhari Ona Nigeria hiyo!!
Kwa masikitiko na hofu Kuna sehemu kadhaa TZ itarowa na kufurika maji hatimaye itashabihiana na hiyo!!! Uliza TMAA au wahusika ..wa "global warming"Nakumbuka nilipaona hapo, kuna documentary moja inatwa... WELCOME TO LAGOS,its very interesting,I believe sisi Tz hatuna sehemu kama hizo mbali na umaskini wetu
Wale walichokifanya ni land reclaimation Hilo eneo lilikiwa tayari na maji.pole naweKwa masikitiko na hofu Kuna sehemu kadhaa TZ itarowa na kufurika maji hatimaye itashabihiana na hiyo!!! Uliza TMAA au wahusika ..wa "global warming"
Pole in advance!!