Ikumbukwe katiba iliyopo iliasisiwa kwa lengo la kuufanya utawala wa CCM kuendelea kudumu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Rais gani wa CCM ataafiki uwezekano wa mabadiliko ya katiba ndani ya awamu yake ya kwanza katika 2 anazopewa?
Asijipende vipi mtu huyo?
Inawezekana ni kwa mantiki hiyo kwamba sarakasi hizi za katiba mpya iwe baada ya 2025 tunaziona sasa.
Mh. Rais Samia hana haja ya katiba mpya kwenye mitano hii labda kwenye ile mitano mingine!
Ni vizuri kuujua ukweli mchungu huu ili kuukubali au kuukataa.
Kunyoa au kusuka yote si ni uamuzi mikononi mwetu?
Stefano Mengele anajua vyema.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Rais gani wa CCM ataafiki uwezekano wa mabadiliko ya katiba ndani ya awamu yake ya kwanza katika 2 anazopewa?
Asijipende vipi mtu huyo?
Inawezekana ni kwa mantiki hiyo kwamba sarakasi hizi za katiba mpya iwe baada ya 2025 tunaziona sasa.
Mh. Rais Samia hana haja ya katiba mpya kwenye mitano hii labda kwenye ile mitano mingine!
Ni vizuri kuujua ukweli mchungu huu ili kuukubali au kuukataa.
Kunyoa au kusuka yote si ni uamuzi mikononi mwetu?
Stefano Mengele anajua vyema.