Hazard cfc mwenzako nakuelewa

Jolie Jolie

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2017
Posts
7,406
Reaction score
13,806
Ujumbe kwako kipenzi cha roho yangu hazard,mwanaume nikupendae kwa dhati.
Mwanaume ambaye sijawahi kuacha kukuwaza.Wewe ni zaidi ya mwanaume,hakuna mwanaume yeyote duniani anaweza kunielewa zaidi kama unavonielewa wewe.

Ni moyo wangu pekee ndio una uwezo wa kukwambia ni jinsi gani nakupenda,maneno yangu pekee hayatoshi kuelezea ni kwa jinsi gani nakupenda.Natamani niwe nimekutana na wewe tangu zamani.

Nakuelewa sana Hazard wangu,na haka kawimbo kawe special kwako,kila unapokasikia ujue kanauwakilisha moyo wangu kwako.

I love you so much my baby




 
Song : Kuchh Kuchh Hota Hai

lyrics : Sameer

Singers : Udit Narayan & Alka Yagnik


Tum paas aaye yoon muskaraye
Tumne na jaane kya sapne dikhaye
Ab to mera dil jaage na sota hai
Kya karoon haye kuchh kuchh hota hai
Na jaane kaisa ehsaas hai
Bujhti nahin hai kya pyaas hai
Kya nasha is pyaar ka
Mujhpe sanam chhane laga
Koi na jaane kyon chein khota hai
Kya karoon haye kuchh kuchh hota hai
Kya rang layi meri dua
Ye ishq jaane kaise hua
Becheiniyon mein mann
Na jaane kyon aane laga
Tanhai mein dil yaadein sanjota hai
Kya karoon haye kuchh kuchh hota hai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…