Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Sina bahat kabisa yaanUtakuwa na bahati ya .......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina bahat kabisa yaanUtakuwa na bahati ya .......
Ukishindwa uniambie nkusaidieYupo humuhumu anazurura,namlia timing tu nimfungukie
Sawa kakaShukran mkuu..si unajua huko mpiran wamenichafua gafla nikapoozwa huku,,huyu mtot anaakili kubwa sana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Muanzishie nanii basi na wewe
Teh teh
Ameni ameni,naomba untambulishe wifi angu plzHeeee leo mambo ni
Fayaaaaa kila sehemuuu
Hii couple naikubali sanaaa pia
Mungu awajaliiye mfike mbali
Wazungu wanasema siko moja nitafanikiwaSina bahat kabisa yaan
Wakati mjamzito nilikua nazinywa balaa. Ilinichukua muda sana kuziacha [emoji23][emoji23]Hahaha hujawah kuzijaribu au zinachangamsha mapema
Mpaka nakosa maneno ya kumwambia,kungekua na neno jingine tofauti na nakupenda ningelisema ili niweke mkazo zaidiHuku kwema leo nashuhudia mapenzi mubashara
Paza sauti ajue ni jinsi gani unampenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa kaka
Kwenye mpira ufeli hata huku?
Si mbaya. Nakupa hongera
Ntafsrie na mimiYan ndio nimetoka kwa kanji hapa kutafasiriwa
Watakuwepo ila wanaogopa kukufungukiaLeo mmeamua ina maana hakuna alienidondokea kwel mim?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja
nmtafutie maneno matamu ya kumleta pangoni
Acha kumvunja moyo mwenzioUtakuwa na bahati ya .......
Nakupenda wewe bby ake jj
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa kaka
Kwenye mpira ufeli hata huku?
Si mbaya. Nakupa hongera
Lipo ila sikuambii maana ukilitumia atasema umefundishwa kulisemaMpaka nakosa maneno ya kumwambia,kungekua na neno jingine tofauti na nakupenda ningelisema ili niweke mkazo zaidi
Hata castle lite hutaki?Niko nazo hapaSafari sizitaki kabisa
Yan zile ni ugonjwa wangu nikiwa mtaani..ila nikienda huko duniani ndio napiga Heineken kupoteza tu pesa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati mjamzito nilikua nazinywa balaa. Ilinichukua muda sana kuziacha [emoji23][emoji23]
Cheko hiloo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heineken tu mie na vikali. Hizo nyingine labda niende sehemu hamna kabisa nachokunywaHata castle lite hutaki?Niko nazo hapa