Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
- #361
Hutaki kumtia moyo?nimtie moyo "" ?? wewe acha mambo yko ujue !?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki kumtia moyo?nimtie moyo "" ?? wewe acha mambo yko ujue !?
aiseee...sasa jolie alipokuwa anakuja kuzinunua alikuwa anakwenda kutumia na nani mkuu"" au alikuwa anazifanyia research?Hivi kuna watu bado wanatumia hizo?
Kuna binti namzimia sana humu, lakini huwa hataki kabisa kunielewa mkuu.....
Labda nikutajie ili unisaidie kumzoza....[emoji39] [emoji39]
sifanyagi matusiHutaki kumtia moyo?
Wooooiiiii[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]aiseee...sasa jolie alipokuwa anakuja kuzinunua alikuwa anakwenda kutumia na nani mkuu"" au alikuwa anazifanyia research?
Wew kama mimiFungua code maana naelewa nusu nusu
Itakua research tuaiseee...sasa jolie alipokuwa anakuja kuzinunua alikuwa anakwenda kutumia na nani mkuu"" au alikuwa anazifanyia research?
Ngoja atoe jina asaidiweAaah! Sasa kama wewe hajakuelewa, wengine wataimba nyimbo gani kwa niaba yako?
Jina linakucostEeeeeeeehee,saa ya maumivu ishawadia kwa sie wakumbatia mito maana naona kila mutu na mutu yake.
Jamani na mie wa kuniokoa basi ili niweze kubadilisha ID maana huu utakuwa uonevu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Eeeeeeeehee,saa ya maumivu ishawadia kwa sie wakumbatia mito maana naona kila mutu na mutu yake.
Jamani na mie wa kuniokoa basi ili niweze kubadilisha ID maana huu utakuwa uonevu.
Kumtia moyo jamansifanyagi matusi
Ngoja atoe jina asaidiwe
Akifungua uniiteWew kama mimi
Kwanza namuogopa kama al-qaida kwa jinsi alivyo na mabomu utadhani al-shabab...[emoji12] [emoji12] [emoji12]Aaah! Sasa kama wewe hajakuelewa, wengine wataimba nyimbo gani kwa niaba yako?
hata mimi nAhisi ..ungekuwa kule kwetu uswahilini tungeshasema kuwa umelishwa limbwataItakua research tu
[emoji23] alikuja mwenyeweKwani wewe ulipomuelewa mzee mwenzangu kulikuwa na kuwadi?
moyo nautiaje sasa ...hapo ndio sielewi[emoji23] [emoji23] [emoji23]