Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
- #501
Ndo nipo nasaubiri hapaAkikuhadithia nijuze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nipo nasaubiri hapaAkikuhadithia nijuze.
@Demiss charm decor unaitwa huku kutetaMuite namsubiri hapa
Teh teh teh!! Ndio maana kuna mtu akaniita Makaveli Jr jina ambalo limekuwa kiasi ukinitafuta kwa jina langu halisi mtaani ni ngumu kwa wageni kunifahamu.Sijui kwanini akili yako naifananisha na Tupac
TsapNjoo tutete basi
Kwa nini?carbamazepine namuelewa kitambo sema ndio hivo tena sio rizki
Wazuri tu bebeBby wakuria wapo je?
Loooh bora msukumaaaSasa kama wanyumbani mmenipandishia vioo ntafanyaje mie? Au nichukue Mzanzibari kabisa tumalize mchezo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaa!! Mie ubondia wa kwenye kwichi kwichi tu huko kwingine sitaki kupasikia.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji114][emoji6]Ubaguzi sio mzuri ujue
Ndio[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Tsap
Ngoja aje huenda atasikia kilio chakocarbamazepine namuelewa kitambo sema ndio hivo tena sio rizki
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa kajinyakulia tunda lililoiva mambo safi ni full maraha
[emoji125]Ndio[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mbona maraia hawawataki?[emoji23]Wazuri tu bebe
Duh!! Pole mkuu, ila ni ya kawaida tu, samaki mmoja akioza tupa tia ndimu waliobaki kaanga songea ugali uwatafune.Hata mie sio ubondia mkuu. Kuna kitu kilinipata na hawa watu, nawapungia mkono na kuwasabahi kwa mbali tu.
Haaa bado kabichi ka jj changu...nakakula kwa ndimu mkuuJamaa kajinyakulia tunda lililoiva mambo safi ni full maraha
Duh!! Pole mkuu, ila ni ya kawaida tu, samaki mmoja akioza tupa tia ndimu waliobaki kaanga songea ugali uwatafune.
Ngoja aje huenda atasikia kilio chako
Hata aoze atoe na funza km kaoza pekee yake tu wengine watalika, labda uniambie wawe wameoza wote hapo haina jinsi, kitu ambacho ni kigumu katika maisha, huwez kukosewa na watu wote kitu ambacho ni kigumu.Inategemea ameoza kiasi gani na madhara aliyosababisha.
Loooh bora msukumaaa