Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona niko nao hapa mimi jamaniii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona niko nao hapa mimi jamaniii
Nini tena jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Nini tena jamani
Huyu bintii alienda wapi....? Kwako mwalimu Hazard
HAPANAToka kipindi hicho hawajaongezeka tu?
Napendaga tu unavyokimbia kwenye matukio mdogo wangu.!!
Napendaga tu unavyokimbia kwenye matukio mdogo wangu.!!
Ujumbe kwako kipenzi cha roho yangu hazard,mwanaume nikupendae kwa dhati.Mwanaume ambaye sijawahi kuacha kukuwaza.Wewe ni zaidi ya mwanaume,hakuna mwanaume yeyote duniani anaweza kunielewa zaidi kama unavonielewa wewe.Ni moyo wangu pekee ndio una uwezo wa kukwambia ni jinsi gani nakupenda,maneno yangu pekee hayatoshi kuelezea ni kwa jinsi gani nakupenda.Natamani niwe nimekutana na wewe tangu zamani.
Nakuelewa sana Hazard wangu,na haka kawimbo kawe special kwako,kila unapokasikia ujue kanauwakilisha moyo wangu kwako
I love you so much my baby
ndio ujue maisha tumetofautiana kuna mwingine anapondea wanawake hawapendi sijui nini ila kuna mwingine anaongea kwa kutumia moyo kuna watu hoo wanaume wa siku hizi hawajui kupenda ila kuna mtu anatumiwa ujumbe mzito kama huu maisha bwana
Nadhani atakuwa anafanya zoezi ndo maana ana kamwili kadogo.!!Hahahaha anaendaga wap
hazard mwenyewe mlengwa piga toto hiyo utualike kwenye harusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha hili tukio nimechelewa kuliona 😂😂Napendaga tu unavyokimbia kwenye matukio mdogo wangu.!!
Bora wewe umechelewa kuiona halafu kesi yako ikaishia hapo..!!Haha hili tukio nimechelewa kuliona 😂😂
Hazard CFC oi ndoa lini?
Haha hili tukio nimechelewa kuliona [emoji23][emoji23]
Hazard CFC oi ndoa lini?
hazard mwenyewe mlengwa piga toto hiyo utualike kwenye harusi
Jamani babe 🙇🙇Bora wewe umechelewa kuiona halafu kesi yako ikaishia hapo..!!
Wengine na kuumizwa kamoyo tunaumizwa na siredi za namna hii..!!
I'm okay now babe, really okay!! Nilikuwa kwa party nimeruka magoma kama yote, nipoje poa!? 😂Jamani babe 🙇🙇
😅😅😅 kama nakuona vileI'm okay now babe, really okay!! Nilikuwa kwa party nimeruka magoma kama yote, nipoje poa!? 😂