monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Mkuu acha mbwembwe bwana, kwani Ng'olo Kante kasajiliwa chelsea lini? Na Hazard alianza kuwasha moto chelsea lini?Kawaida wachezaji weupe hufanyiwa kazi kubwa na weusi na kupewa wao masifa
Hazard kazi kubwa ilikuwa inafanywa na Ngolo Kante...
Hata kina Zidane enzi zao walisaidiwa sana na kina Makelele
Unasema kweli apunguze mwilihazard kanenepa kawa kama tiny white au ringo
Mkuu ile ni Madrid na sio chelseaHazard sijui kawaje..lakini jamaa Ni mkali msimkatie tamaa..shida nyingine kanenepa anaona amefika..lakini jamaa mpambanaji Sana
Chelsea ni timu kubwa ...daaaah unachekesha sana chelsea hiii ya iliyoanza giangluca viali na ruud gullit ndio unasema ni timu kubwaHazard wa Chelsea alikuwa fire alikuwa anauwezo pekee yake kuamua mechi inashangaza hazard anamaliza game ndani ya team ya Madrid bila hata shot on target.chelsea hazard alikuwa mfalme anaheshimika kaenda sehemu ambayo CR7 pamoja na kufanya makubwa Madrid kuliko mchezaji yoyote lakini hajapata heshima anayostahili ameondolewa kama mbwa koko.
Paul scholes,lampard na Gerald wanaheshimika Sana na wamepata mafanikio makubwa bila hata kwenda Madrid au barcelona.Yaani unashangaa mchezaji upo kwenye timu kubwa inchini England kwanini unatamaa kwenda sehemu ambayo unakuwa haupo uhuru
We mwangalie coutinho kapishana na gari la dhahabu kaikimbia Liverpool msimu unaofuata Liverpool kachukua champion league sasa hiv anaonekana si chochote pale Barcelona na ametolewa mkopo hiv kwel kwa ubora wa coutinho ni wakutolewa kwa mkopo?
Tuache ushabiki mkuu ukipiga mahesabu chelsea ndio timu yenye mafanikio zaid pale england ndani ya miaka kumi since 2009_2019Chelsea ni timu kubwa ...daaaah unachekesha sana chelsea hiii ya iliyoanza giangluca viali na ruud gullit ndio unasema ni timu kubwa
Chelsea ni timu kubwa ...daaaah unachekesha sana chelsea hiii ya iliyoanza giangluca viali na ruud gullit ndio unasema ni timu kubwa
Nimewapata Chelseabromovich ..... Kumbaaafu hiiiiiiiiiiiUkubwa wa timu unautafsiri vipi
Acha utani mzee baba Chelsea timu ndogo?Whats your point mkuu.
Ss ulitaka hazard akae timu ndogo km chelsea ili iweje,
Hazard anapenda maisha mazuri mzee,angalia mshahara anaolipwa sahv,ukirndekeza sifa ikifika umri unastahafu unakua umepga hela ndgo,btw msimu wake wa kwanza tena hta nusu haujafika unaleta siasa za bongo,em chill mpe muda
Na ndo maana anaomba Kante asajiliwe Madrid....!
Ivi inakuwaje mchezaji anakimbia kila game Dakika 90 non stop na matizi ya kufa mtu anafanya na bado ananenepa?Hazard sijui kawaje..lakini jamaa Ni mkali msimkatie tamaa..shida nyingine kanenepa anaona amefika..lakini jamaa mpambanaji Sana
Chelsea imetimiza ndoto za wachezaji wengi tu ..unasema ni timi ndogo!! Kuwa na adabu..Chelsea ni timu kubwa ...daaaah unachekesha sana chelsea hiii ya iliyoanza giangluca viali na ruud gullit ndio unasema ni timu kubwa
Achen upumbafu
Kabla ya kante ni RamilezKabla ya Kante alikuwa anafanyiwa na nani kazi?
NA Kante sasa hivi anamfanyia nani kazi?