CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Inasikitisha sana hiyo ukizingatia wote ni kama ndugu
huko hamna jf?bado amelewa na madawa enwey
Ripoti ya dokta inasemaje kuhusu hawa watu wajamen??
ni madawa,sumu au mipombe???????????????/
endelea kusubiri.
time will tell
Taarifa hizo nimezinyaka kupitia clouds FM.
Inasemekana kwamba jamaa anasumbua sana maana anataka kuongea na mshikaji wake lakini hampati,na kutokana na hali yake ya sasa wameshindwa kumwambia ukweli maana pengine inaweza kua balaa zaidi!
Naomba kujua huyu M to The P ameimba nyimbo gani?
Mkuu hiyo single mbona mm sijawahi kuisikia?Mimi pia...