CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Taarifa hizo nimezinyaka kupitia clouds FM.
Inasemekana kwamba jamaa anasumbua sana maana anataka kuongea na mshikaji wake lakini hampati,na kutokana na hali yake ya sasa wameshindwa kumwambia ukweli maana pengine inaweza kua balaa zaidi!
Inasemekana kwamba jamaa anasumbua sana maana anataka kuongea na mshikaji wake lakini hampati,na kutokana na hali yake ya sasa wameshindwa kumwambia ukweli maana pengine inaweza kua balaa zaidi!