Sikiliza dakika ya 2.04Mbona sijasikia kitu
Ni kweliHuyo Mzee naye tumemtoa kwenye orodha ya Makolokolo/bumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada maana ananena kiakili si kimahaba...[emoji124][emoji2960]
HaswaIle timu ni yamoto....Yanga ni yamotooo[emoji1787][emoji1787]
Kama wala mihogo mlipobatizwa baada ya kulalamikaHuyo Mzee naye tumemtoa kwenye orodha ya Makolokolo/bumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada maana ananena kiakili si kimahaba...🚶🤭
Kwani chama wanayemtegemea siku zote akuwepo uwanjani? Au yeye ni hatari akiwa kwa mkapa tu na mikoani anakuwa kama kibu denis🤣🤣🤣
Wanahangaika sana hawaKama wala mihogo mlipobatizwa baada ya kulalamika
Wakachimbe mihogo huko wasife njaaWanahangaika sana hawa
Vumilieni tu maumivu. Maana hata nyinyi wenyewe mlihangaika sana wakati Yanga inacheza mechi zake za Kimataifa na Waarabu.Wanahangaika sana hawa
Ni hatari akiwa DarKwani chama wanayemtegemea siku zote akuwepo uwanjani? Au yeye ni hatari akiwa kwa mkapa tu na mikoani anakuwa kama kibu denis[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MmmmhWakachimbe mihogo huko wasife njaa
Sawa uwanja wenuu... yani kombe la dunia halitabiriki aiseeVumilieni tu maumivu. Maana hata nyinyi wenyewe mlihangaika sana wakati Yanga inacheza mechi zake za Kimataifa na Waarabu.
Mura!!!!
[emoji38][emoji38][emoji38]
Duuh wapi hyo?Kibudenga vs kiungo Punda wamezichapa