Sikiliza mwenyewe
"Jina la Simba kuliko watu waliyopo, kwa mchezo huu namlaumu Mgunda kwasababu Boko alikuwa amechoka na amechelewa kumtoa hata kabla ya kuambiwa. Akamuingiza Kibu, lakini kibu mzigo. Viongozi wa Simba wasajili viungo na foward wachezaji kama akina Boko, Mkude waache waende hata Ihefu au wakapumzike. Yanga sasa hivi ni wamoto na mbinu wanaijua tina ya mpira kuliko Simba, wachezaji wanaruka ukuta wanaenda kupiga mtu."
"Jina la Simba kuliko watu waliyopo, kwa mchezo huu namlaumu Mgunda kwasababu Boko alikuwa amechoka na amechelewa kumtoa hata kabla ya kuambiwa. Akamuingiza Kibu, lakini kibu mzigo. Viongozi wa Simba wasajili viungo na foward wachezaji kama akina Boko, Mkude waache waende hata Ihefu au wakapumzike. Yanga sasa hivi ni wamoto na mbinu wanaijua tina ya mpira kuliko Simba, wachezaji wanaruka ukuta wanaenda kupiga mtu."