He!...Kumbe nyumba hii ina Malaika!

He!...Kumbe nyumba hii ina Malaika!

Sasa tatizo liko wapi JK alisema 'ukitaka kula shurti uliwe'.acha kijana aendelee na mdogo wako nawe ukijaribu kwa dadake.
 
Mkuu PJ,

Hebu verify tena status yako. Are you single, married au vyote!? LOL!.... Hebu angalia hapa chini...LOL!


Circumsicion IMETUVURUGA...
PakaJimmy
user_online.gif
4th September 2009, 10:01 AM

Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.

Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?

Hapo tu ndipo JF wanaponiacha hoi na kuamini kua kuna watu makini humu. Jamaa kashikwa utam sana hapo. Be consistent mdau sio huku waweka status single while the previous posts unatangaza una mke. Anafikiri watu humu wapo narrow minded au? Kudos bubu ataka kusema kwa kutukamatia huyu.We hope next time atakua makini zaidi and more consistent.
 
Tia timu mwana sikiliza hisia zako.sio kuangalia watu
 
Mkuu kama huna wivu basi rudi mwanzo waite dogo na sister yako wape tu idhini ya kuwa marafiki na kama vp waambie wafanye ngo..o salama maana hata kama umewakataza itafika siku watamegana tu bila hata wewe kujua.
Hii itakurahisishia na wewe kumega ingawa unaweza kumega bila bila kufuata ya hapo juu!
Kilalakheri mwana kwenye huo mtanange naimani utafanikiwa!
 
Back
Top Bottom