Pakajimmy inawezekana anataka kumega nje ya ndoa naona ni mmoja wa kina MBA
Mkuu PJ,
Hebu verify tena status yako. Are you single, married au vyote!? LOL!.... Hebu angalia hapa chini...LOL!
Circumsicion IMETUVURUGA...
PakaJimmy4th September 2009, 10:01 AM
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?