He mjukuu wangu wee wa Kikwere.

He mjukuu wangu wee wa Kikwere.

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
132364.jpg


Yaani bibi anamshangaa mjukuu wake ,jukuu nalo linachekelea tu .
Mafisadi wanakushinda ,Pemba umeenda kutibua kama haitoshi watu wanajifanyia wanavyotaka bora nawewe ufungue biashala hapo Ikulu. 😀
 
Ukiona bibi kaamuka kuja Ikulu, bila shaka kuna jambo. Ama serikali hii haipeleki mafungu ya kumtunza bibi, au ugomvi wa mkwere na Butika umepata msuluhishi.
 
Baija,
Mimi si shabiki wa Mkwere lakini kwa hili anastahili sifa. Wakati wa Mkapa umeme ulikuwa unakatwa kila mara pale Msasani. Lakini tangu Kikwete aingie mamlakani amemjali sana
our first lady hata mandhari ya Msasani inapendeza sana ukipatembelea.
 
Ila hii picha ina ujumbe mzito sana maana wanasema ,Picha inaweza kusema maneno zaidi ya elfu moja.

Ukiiangali picha utaona bibi anavyomaka ,pia unaweza kusema inawezekana kumwambia Kikwete unavyofanya si vizuri ,au mambo yako siyaelewi pengine anaambiwa ulifikiri Uraisi ni kuuza njugu.
Na Kikwete kwa anavyojichekelea anaona huyu kizee zake zishakwisha hana jipya.
 
Back
Top Bottom