He Wasn't Man Enough For Me Kasie.......

He Wasn't Man Enough For Me Kasie.......

Sawasawa Kasie matata, nakubaliana na wewe toto la kinyamwezi.

Kila nikiona post yako nakumbuka matobolwa na asali mbichi

Hahahahaaa wanyamwezi ni moto wa kuotea mbalii....

Mixer ya asali mbichi na karanga mbichi nayo ni hatarii...
 
Hahahahaaa wanyamwezi ni moto wa kuotea mbalii....

Mixer ya asali mbichi na karanga mbichi nayo ni hatarii...
Yaani hapo moto wake sio wa kitoto, ilikuwa nikigonga ule upula wa sikonge kwa wiki mbili mfululizo nikienda Orion na nanliu ni mwendo wa nyimbo tu zile za..........
 
Aahahahahahahahaa VIVA wanyamwezi.....

VIVA Tabora...

I salute you kwa makaratee
Hadi nimeiweka picha iliyo kwenye avatar yako kwenye profile pic yangu ya what's up nilipoulizwa nimeitolea majibu mujarabu hakika
 
Hadi nimeiweka picha iliyo kwenye avatar yako kwenye profile pic yangu ya what's up nilipoulizwa nimeitolea majibu mujarabu hakika

Aahahahahahahahaa looh, I wish to see your contact list vile wanakuuliza maswali...... huyo bibi ni nani kwenye DP yako....

Una hatari weweee...... ninong'oneze basi ulovowajibu aahahahahhahahahaaa.
 
Aahahahahahahahaa looh, I wish to see your contact list vile wanakuuliza maswali...... huyo bibi ni nani kwenye DP yako....

Una hatari weweee...... ninong'oneze basi ulovowajibu aahahahahhahahahaaa.
Toto la kinyamwezi Kasie matata ,mjuzi wa mambo lakini mpoleeeee kwa muonekano wake, mtaalamu wa kiasali, asiyependa makuu, ukimzingua anakutolea uvivu, mkubwa umri lakini ukimuona kama binti maninaaaaaaa hahahhaaaaaaaaa. Una mambo mnyamwezi ww! Hhahahahahaaaa
 
Back
Top Bottom